Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Naamini mara ingine watachukua bombadia moja na kuitumia kutuonesha mpira mubashar angani.Ni sahihi kabisa... shida ipo wapi hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini mara ingine watachukua bombadia moja na kuitumia kutuonesha mpira mubashar angani.Ni sahihi kabisa... shida ipo wapi hapo?
eeeh Mungu angalia jinsi tunavyo angamia kwa kukosa maarifaPamoja! Nime read between the lines!
Usemacho ni kweli kabisa!
Public open spaces, Leaders, Tanganyika Packers, Mbagala kule, stadiums Taifa Karume kupo!
Ila wameona Bora wafunge daraja, eti weekend hakuna foleni!
Wabongo wanywe mibia na kunya ovyo, watupe michupa ovyo, wakojoe kila mahali, ndiyo tutajua hatujui!
Mama yangu Tanzania..in Mbatiaz voice!
Hakuna viumbe wastaarabu duniani kama wanywa bia.Niamini mimi.Pamoja! Nime read between the lines!
Usemacho ni kweli kabisa!
Public open spaces, Leaders, Tanganyika Packers, Mbagala kule, stadiums Taifa Karume kupo!
Ila wameona Bora wafunge daraja, eti weekend hakuna foleni!
Wabongo wanywe mibia na kunya ovyo, watupe michupa ovyo, wakojoe kila mahali, ndiyo tutajua hatujui!
Mama yangu Tanzania..in Mbatiaz voice!
Siku zote mwenye macho ukikubali kuongozwa na kipofu lazima atakutumbukiza shimoni. Tanzania ni nchi inayoongozwa na vipofu[CCM] aya fikiri nini Sasa kitatokea?🤔Pamoja! Nime read between the lines!
Usemacho ni kweli kabisa!
Public open spaces, Leaders, Tanganyika Packers, Mbagala kule, stadiums Taifa Karume kupo!
Ila wameona Bora wafunge daraja, eti weekend hakuna foleni!
Wabongo wanywe mibia na kunya ovyo, watupe michupa ovyo, wakojoe kila mahali, ndiyo tutajua hatujui!
Mama yangu Tanzania..in Mbatiaz voice!
"Roho tua" ndiyo funza gani?Halafu wanatoa kisingizio cha kutangaza utalii huku wakijikosha kwa kusema wataweka muvi ya roho tua
jamani hivi mnatuonaje sisi watalii?
kama kulikuwa na option ya daraja tangu mwanzo lisingejengwa.Unadhani ni shillingi ngapi ambayo itaingia kwa leo tu kwa kuuza bia pale na serikali itavuta chake??? kupewa kibari unadhani imelipiwa shilingi ngapi? polisi kusimamia usalama unadhani wanafanya bure? Ajira za muda ni ngapi zimetengenezwa kama kuuza vyakula? mambo ya usafiri kama bajaj na bodaboda na wale wa little ride au bolt!
Uzuri kuna option ya barabara sio kwamba ndio tegemeo tu!
Kwa watu wanaopenda mpira wala hawana wasi wasi juu ya ili lakini wasikunywa bia lazima wawe na makasiriko sana!
Maana wakinywa BIA wanaweza kuzuia haja zao Hadi hapo watakaporudi majumbani!?Hakuna viumbe wastaarabu duniani kama wanywa bia.Niamini mimi.
Usiwe sirias sana na miandiko.Utapata wehu."Roho tua" ndiyo funza gani?
Watu wanaongea kizungu muda wote watapata wapi fursa ya kwenda haja?Teh!Maana wakinywa BIA wanaweza kuzuia haja zao Hadi hapo watakaporudi majumbani!?
Aisee!
😂 😂Ni ROHO TUWA pekee inayoweza kutupa mawazo mazuri kama yako!
Hanasa=anasayote ni madudu tu daraja linatakiwa kufungwa kwa ajili ya ukarabati na matengenezo tu na si mambo ya hanasa
Akili mgando haswa!!! Jangwani ndio palipaswa kupewa kipaumbele cha kujengwa daraja kuliko daraja la Tanzanite! ile imefanyika pendezesha mandhari ya jiji la Dar Es Salaamkama kulikuwa na option ya daraja tangu mwanzo lisingejengwa.
hii nayo ni akili mgando
Labda Nchi yetu inalipwa pesa nzuri kwa ajili ya zoezi hilo.Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya uefa limekaaje kitaalam mbna kama haliko sawa hivi
Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho .
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya hanasa .
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
Bonge la ubunifutanzanite/salenda leo jioni litafungwa na kugeuzwa kiwanja cha kuangalizia mechi ya uefa final