Daraja la Tanzanite kufungwa kuangalizia fainali UEFA, Serikali iko wapi?

KJ07

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2021
Posts
2,370
Reaction score
5,381
Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya UEFA limekaaje kitaalam mbona kama haliko sawa hivi.

Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho.

Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya anasa.

Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
 
Swali la kujiuliza ni kuwa uzito ukielemea sehemu Moja kwa muda mrefu je haitaleta madhara maana sio baada ya hapo mara daraja lina ufa au mkaja kutumbukia baharini mkaangalie UEFA na samaki
 
Eleza vizuri, dalaja gani? Wapi? Nani kasema? Si watanzania wote wameskia hiyo habari unayolalamikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…