Eleza vizuri, dalaja gani? Wapi? Nani kasema? Si watanzania wote wameskia hiyo habari unayolalamikia.Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya uefa limekaaje kitaalam mbna kama haliko sawa hivi
Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho .
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya hanasa .
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
Wewe si mbunifu that's why umetoa hayo maoni yako ya kwenda mbuganiubunifu wa kishamba sana si wangeenda kwenye mbuga huko kama niwabunifu sana
Nakubaliana nawe shithole countries tuna safari ndefu!Ndio uone ujinga wa sie watanzania....mbona wao hawaonyeshi mechi zetu kwenye madaraja yao....alafu wakituita manyani tunalalamika
Kwa hiyo kwa sababu kabla ya Uhuru wazee wetu walikuwa wanachapwa viboko uchi na mjeurumani hivyo serikali inapaswa kuendelea kuchapa watu wake viboko uchi?🤔Kabla ya daraja mlipita wapi?
Aiseee mi siamini, hadi nipate udhibitisho, WatZ hatujafikia stage ya kuchanganyikiwa kiasi hichoHuo ni ujinga
Wewe sie ni uselessNakubaliana nawe shithole countries tuna safari ndefu!
Usafiri unachochea uchumi kuboresha huduma, Sisi tunafunga daraja!?
Beberu anatucheki na kuchekaaa maana tunachekesha!