Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Msaada wa S.Korea so huwezi wapangia unless gvt ndio ilichagua huo mradi.Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa...
So wamewajengea mabalozi, Hakuna balozi aisie uswahiliniMsaada wa S.Korea so huwezi wapangia unless gvt ndio ilichagua huo mradi.
Au, hizo hela tunge wapa wauza vitumbua - kusudi kila familia ipate angalau vitumbua vya kuywea chai kila siku! Je! Ni siku ngapi kila familia nge kuwa na mlo huo? Serikali inapoteza hela kwenye miundo mbinu isiyo ya lazima!Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa...
Ni vijiji vingapi ambavyo vina zile trekta za kila kijiji zinazofanya kazi mpaka sasa?Nchi haina vipaumbele, walipa kodi awashirikishwi juu ya matumizi ya kodi zao.
Matrekta ni muhimu kuliko ndege na yanazalisha uchumi mkubwa kuliko ndege ,yanarudisha pesa haraka kuliko ndege.
Soko kubwa lipo China lima, peleka chochote kule.
Kutwa kuwalaumu wazungu juu ya kushindwa kwetu, wakati wanasiasa ndio chanzo.
Zilishakufa Hizo trekta zilinunuliwa ujazaliwa bado, zinatakiwa mpya zingine.Ni vijiji vingapi ambavyo vina zile trekta za kila kijiji zinazofanya kazi mpaka sasa?
Viongozi wa Chama na Serikali wako Dodoma. Masaki na Oyster bay wanafanya nini?Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa...
Walitoa msaada wa pesa au daraja?Kamanda Asiyechoka haikutakiwa uchoke kufatilia kujua daraja hilo limejengwa kwa msaada wa S.Korea na walielekeza msaada huo kwenye mradi huo na si vinginevyo
Maji vijijini kote huko while dar hapa hapa mpaka leo miaka 60 ya uhuru hakuna maji safi ya uhakika maeneo kibaoWazo lako ni zuri sana ila acha kuingiza uchama kwenye maendeleo off course pia hata kwenye maji wangeweza peleka huko vijijini
Lile Daraja naimani IPO siku utapita wewe ama ndugu Yako.
Yaani kipaumbele kupunguza foleni ya viongezi ni muhimu kuliko afya ya wananchi? Pole sana.Basi tusijenge barabara au daraja lolote kokote tupeleke afya kijijini.
Omba Mungu akunyime vyote lakini asikunyime akili.
Huko ndiko wanaishi wawekezaji tusipopajali wataondoka na tutakosa kodi, name madawa ya kuhudumia wajawazito yanayokana na kodiUnajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa...