Daraja la Tanzanite upotevu mkubwa wa pesa ambazo zingetumika kuimarisha sekta ya afya tungeokoa maisha ya akina mama wengi vijijini

So wamewajengea mabalozi, Hakuna balozi aisie uswahilini
Sasa kama kiongozi wa chama kitaifa anakiuzia chama chake mwenyewe magari mabovu, na chakavu kwa bei ya dukani ili awahi kukusanya mpunga wa kwenda kula bata Dubai na familia yake, huku akiacha chama hakina hata ofisi ya kujitegemea hauoni kuwa tuna wanasiasa wa ajabu sana nchi hii. Just imagine viongozi au kiongozi wa aina hii awe raisi wetu hali itakuaje!
 
Mtoa mada akapimwe akili kwanza
 
Hata ile Flyover ya Mfugale imelenga kuwasaidia wakubwa wanaoelekea Airport au wakitoka Airport.

Ndio maana ipo ya Upande mmoja tu.
 
Ok kumbe ni fedha za msaada !sio kama nilivyoaminishwa kuwa ni fedha za ndani!loooo hili daraja lingejengwa pale jangwani walala hoi wengi wangenufaika zaidi!lile daraja litapitisha magari yasiyozidi 5k per day,lingejengwa Jangwani lingesaidia more than 20k cars kwa siku!but its ok huku Lingusenguse bado hatuna maji salama au umeme hadi leo.
Msaada wa S.Korea so huwezi wapangia unless gvt ndio ilichagua huo mradi.
 
Mpka leo mnalalamika eti kuokoa vifovya akina mama kijijin khaaaa CCM UKOOO WA PANYA KAZI KUBWA NI KULA MAHINDI GHALANI
 
Kiongozi
Kwenye uchumi kuna kitu wanaita opportunity cost
Namaanisha unapokuwa na hela ambayo haitoshi kufanya vitu vyote kwa pamoja, ukifanya kimoja lazima kingine kibaki lakini haina maana hicho kilichobaki hakina umuhimu
Mf: Unaweza kupata hela kiasi ukianza maisha na ukute huna kitanda wala TV, kuna atakaye anza kununua kitanda na kuna atakaye anza na TV nk kiuchumi wote wapo sahihi
Ninachomaanisha ni kuwa, huduma za Afya ni muhimu, Maji ni muhimu, Daraja ni muhimu, kujenga masoko ni muhimu nk ila kwa kuwa hatuna hela ya kutosha vyote lazima kimoja kianze na kwa bahati mbaya huwezi kujenga nusu daraja; ila haimaanishi kingine sio muhimu
Kuamua kipi kianze huwa hakuna formula moja, hutegemea tu matakwa ya aliyepo kwenye nafasi ya maamuzi kwa wakati huo kama vile unavyo amua kununua TV mwingine aamue kuanza na Kitanda
 
Mjinga tu huna akili.
 
Sio kweli, fikiria vizuri na utueleze kama umeishawahi kushuhudia daraja la Salendar likijifunga nini huwa kinatokea kwa jiji la Dar. Usiwaze kwa kufikiria njaa, waza kwa tija za kiuchumi. Kuna wakazi wa Dar huwa wanatumia zaidi ya saa 12 kuvuka eneo hilo tu
 
Huna akili nyumbu wewe, chuki na roho zako za korosho usizilete kwenye maendeleo ya watanzania.

Hata ndege mlipinga sana lakini leo nyie ndiyo wa kwanza kujazana humo hadi wengine wanakosa tiketi
 
Apo tusi danganyane suala la ujenzi wa miundo mbinu halina siasa, sasa kama hakuna barabara hao wajawazito watapita wapi kwenda mahospitalini??
 
Hii ni shida ya kuwa na wabunge wa kupiga makofi, tungekuwa na wabunge kama wa ghana hakika isingejengwa
 
Ni vizuri. Ila kila kitu ni muhimu mkuu
 
Nonsense
 
Viongozi wa Chama na Serikali wako Dodoma. Masaki na Oyster bay wanafanya nini?
Kama mtu anaishi Bunju Tegeta etc atakuwa anajua umuhimu wa hili daraja, lakini michadema tangia mwanzo ni kupinga tu. Tatizo lilianza kujengwa wakati wa JPM tu
 
Hao matajiri wakubwa ndio walipakodi wakubwa. Je ingekuepo serikali ya majimbo ingekuwaje si Dar es salaam ingepata pesa nyingi kwasababu ndio city centre
 
Basi tusijenge barabara au daraja lolote kokote tupeleke afya kijijini.

Omba Mungu akunyime vyote lakini asikunyime akili.
Bado hoja yake ina mashiko, haiwezekani hata madarasa tuu tunayajenga kwa fedha ya mkopo wa covid halafu unatumia mabilioni kujenga daraja ambalo zaidi ya kupendezesha jiji haiondoi kero za msingi.
 
Wakaa think tanks???? Noooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…