Daraja la Tanzanite upotevu mkubwa wa pesa ambazo zingetumika kuimarisha sekta ya afya tungeokoa maisha ya akina mama wengi vijijini

Kuwahi ma deal yao tu .uwezo wa viongozi wetu kufikiri uko chini hiyo tungeweza kujenga kituo cha afya kila kijiji au kata lakini ndio hivyo.Halafu wamehamia Dodoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…