Daraja la Ukraine lashambuliwa tena na drones za Ukraine

[emoji23] [emoji23] hv akili mmeacha wap ? mtu analipua kila sehem ashindwe lipua bunge ? Asubir mpk ashambuliwe
Tumia akili maeneo nyeti kama ikulu au bunge hayashambuliwi ovyoovyo.kila siku urusi anasema anashambuliwa maeneo yenye shughuli za kijeshi.
 
Mmebadili kauli ya demilitisation had kusema Ukraine haez shinda zenu ni majib tosha kuwa Urusi hali si nzur
Mpaka sasa hivi Ukraine haina nguvu za kijeshi wanasaidiwa na nchi za NATO na ulaya.bila NATO Ukraine hamna kitu.demilitisation imeshafanya kazi.
 
Tumia akili maeneo nyeti kama ikulu au bunge hayashambuliwi ovyoovyo.kila siku urusi anasema anashambuliwa maeneo yenye shughuli za kijeshi.
hahaa hv unajitia ukichaa kusema hujaona makaz ya watu , hospital , masoko na viwanja vya michezo vikilipuliwa?
 
Somen hiyo link yenu vzr na muelew swali lang , kauli ni ya lin na Urusi kavamia Ukraine lin ? Alishindwa au hakutaka kwa siku zote za uvamiz wake mpk alipoombwa na Wazir mkuu wa Israel ? Je Urusi leo anamuheshim wazir mkuu wa Israel kuliko uhai wa raia wa Ukraine wenye nchi yao ? Achen kuunda mazingira ya kumtetea gaidi Putin
 
Umepanic ndugu,relax!
 
Hiyo heading sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…