Darasa la kupigilia pamba kijanja

Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.

Hahaha kama namuona vile.

Btw: Hizo picha hapo juu chini kabisa jamaa aliyepiga black juu na huyo left handside wa jeans blue na light blue shirt wametoka poa
 
Inategemea na saa yenyewe.....TAG HEUR CARRERA $5500 ina mkanda wa plastic na inavaliwa na suti au kitu chochote.



Duuu! Saa ya usd 5500!? Kweli ulimwengu umefika mbali aisee!! Milion 11 saa tu, itakua inaonyesha hadi majira ya sayari nyingine lazima!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mtoa mada unaonyesha unapenda mavazi ya kimodo.

Kwa sisi wana hip hop tunamavazi yetu unique

- tshirt kali xxl brand kali kama southpole, mecca, academic etc
- hip hop chain lzm uwe juu ya tshirt
- jeans kwetu ndio kila kitu hip hop jeans yenye mishono na style ya unique sio za kubana paja
- raba we make sure we put on expensive sniker brand like nike, adidas, pollo etc
- american boot pia ni zetu
- jeweries (watches, chain, rings bling bling is our swaga)
- u feel us.
 

Hili ni darasa.....silazimishi mtu avaaje
Kazi ya nguo ni kuficha uchi & kupendezesha mwili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…