Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa sababu wamama tupo vizuri kwenye huo uwanja kuliko wanaumeMbona kwa wamama hujatoa darasa?
Uvaaji wa magauni mafupi,vimini, kikaptulakwa sababu wamama tupo vizuri kwenye huo uwanja kuliko wanaume
ukiona mama au dada kavaa kituko ujue kuna secret behind that.
Na under-size pia.Marufuku kuvaa oversize
Embu vaa nguo ya mdogo wako toka nayo bara-barani oene kama hutokua chapisho la mwaka.Tatizo kubwa ni oversize....undersize unaweza shinfwa ht kuvaa
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
nmeelewa na hiyo undersize ni kama nyongezaUmeelewa nilichoandika?
"Tatizo kubwa" ni oversize
Haimaainisha undersize ni sawa
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Unaeleweka sana tuKumbe naeleweka.....
Inategemea na saa yenyewe.....TAG HEUR CARRERA $5500 ina mkanda wa plastic na inavaliwa na suti au kitu chochote.
![]()
Mtoa mada unaonyesha unapenda mavazi ya kimodo.
Kwa sisi wana hip hop tunamavazi yetu unique
- tshirt kali xxl brand kali kama southpole, mecca, academic etc
- hip hop chain lzm uwe juu ya tshirt
- jeans kwetu ndio kila kitu hip hop jeans yenye mishono na style ya unique sio za kubana paja
- raba we make sure we put on expensive sniker brand like nike, adidas, pollo etc
- american boot pia ni zetu
- jeweries (watches, chain, rings bling bling is our swaga)
- u feel us.