Darasa la kupigilia pamba kijanja

Darasa la kupigilia pamba kijanja

Unakuta Mtu kavaa suruali ya kitambaa cha mistari ina marinda na shati la mistari unaweza hisi umepishana na zebra! Plus anakuwa amevaa tie fulani Hivi vipana vifupi vibayaaaa bado awe na Afro lisiloeleweka na mkuki moyoni!
 
Shati bluu
Suruali njano
Sox kijani
Mkanda mweusi
Tai zambarau

Lazima ucheke
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tukiwa chuo waliokuwa wanavaa hivo tulikuwa tunawaita kachumbari flavour
 
Unakuta Mtu kavaa suruali ya kitambaa cha mistari ina marinda na shati la mistari unaweza hisi umepishana na zebra! Plus anakuwa amevaa tie fulani Hivi vipana vifupi vibayaaaa bado awe na Afro lisiloeleweka na mkuki moyoni!
Mbona inachekesha....
 
Kwa wanaume kwasasa,kuondoa mlolongo mrefu na kuumiza kichwa,vaa suruali ya kadet na tshirt ya form six au shati la jeans au shati la kawaida(ni vizuri kama ni shati uchomekee) ..hii unaingia popote,ofisini,biashara, kitaa,sherehe,baa na unaonekana ni mtu na heshima yako,na mtu hawezi kukujudge status yako..classic!
 
Kwa wanaume kwasasa,kuondoa mlolongo mrefu na kuumiza kichwa,vaa suruali ya kadet na tshirt ya form six au shati la jeans au shati la kawaida(ni vizuri kama ni shati uchomekee) ..hii unaingia popote,ofisini,biashara, kitaa,sherehe,baa na unaonekana ni mtu na heshima yako,na mtu hawezi kukujudge status yako..classic!
Umetisha......
 
2a3c90590beccf0d1d9ee3ca7205170b.jpg
84889ce2015158feb4292c5e692d1289.jpg
bfad743fc868067578ad9b4b1dd8d786.jpg
97d3448a459a9570a1b1797f3c07a86a.jpg
a322a530e28ecd2c9c24d26f42c819c3.jpg
21030ecc9bd58e3ef3c792bb13b4a3bc.jpg
d32c201646b213edf0dd811cbf7b0736.jpg
 
Back
Top Bottom