Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia nataka falsafa yangu ndio ifuatwe,we unajua mi navaaje?Kila MTU ana falsafa yake ya uvaaji! Usitake falsafa yako iwe ndo ya watu wote!
Unamlaumu MTU alivyokuwa amevaa kwa nini? Angekuwa kavaa nusu uchi sawa! MTU kavaa three piece yake yenye rangi anayoipenda yeye, wewe inakutakia mini? Kwani alikuwa anavaa kwa ajili yako?Nani kakwambia nataka falsafa yangu ndio ifuatwe,we unajua mi navaaje?
Hebu rudia kusoma uelewe ndio ujibu,sio unakurupuka na kuvamia kueleza kitu ambacho haujakielewa,kama una stress za kukosa pesa za sikukuu useme usaidiwe,maana umekuwa mkali bila hata sababu,kweli hali imekuwa ngumu sana.
Kama kuoa kunaondoa utanashati kwa mwanaume, ni bora kuwa bachela tu. Mimi nina mke na mtoto wa miaka 13, niko kwenye ndoa for 15yrs lakini napambika balaa, nikimtokea demu baada ya kugonga anauliza utanioa akifikiri mimi under 40, kumbe mie baba ake.
Sijamlaumu na wala sijamkataza kuvaa anachopenda ila nimemshangaa kuvaa nguo zenye rangi io,kwangu nimeona ajabu na kituko,ila sijakwambia kuwa namchukia au nataka avae kama mimi,so sijaona sababu ya mimi na wewe kukwaruzana kisa io suti ya njano,wewe nani umewahi kumuona kavaa ivo?Unamlaumu MTU alivyokuwa amevaa kwa nini? Angekuwa kavaa nusu uchi sawa! MTU kavaa three piece yake yenye rangi anayoipenda yeye, wewe inakutakia mini? Kwani alikuwa anavaa kwa ajili yako?
Mwanamke bangili
Mwanaume SAA
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Zipo za kike ndio, ila za kiume zinatupendeza sanaNimejoke tu....kuna SAA za kike zipo poa
Kuna demu hapa kitaa anapenda kuvaa hivyo huwa ananikera na style yake yakutembeaKuna hii style ya kuvaa pensi halafu inakunjwa naona watu wanaipenda sana
Style hiyo. Naiona ya kiboya sana. Anakunja mpaka juu ya kigoti hapo mtoto wa kiume. Kwa msichana nayo duuhKuna demu hapa kitaa anapenda kuvaa hivyo huwa ananikera na style yake yakutembea
hiyo kitu ni suruali ya jeans ambayo ni nyembamba miguuni kiasi kwamba ukivaa na raba aina ya all star inaibana kisawasawa huku chuga huwa tunaichomokeaga kwenye travolta au ukiivaa na raba yoyote hiyo raba unaikaza mpaka inyanyuke kwa mbele...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hapanaNyie mnamdiscuss Chausiku
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]