Darasa la kupigilia pamba kijanja

Darasa la kupigilia pamba kijanja

Inategemea na saa yenyewe.....TAG HEUR CARRERA $5500 ina mkanda wa plastic na inavaliwa na suti au kitu chochote.

66f2c32aab2295a849f8dd201854632ca5a0c15d.png
kabisa mkuu hata mimi nimeshuhudia mara nyingi suti inaenda na saa yenye mkanda wa plastic isipokuwa inategemea aina ya saa na muonekano wake
 
Kupendeza haijalishi nguo ulizovaa zinathamani gani bali kama unajua kuzipangilia na unajua nguo nzuri basi..Kuna watu wanavaa nguo za thamni kubwa sana lakin huwezi muangalia mara mbili anafanya hadi uchukie nguo aliyoivaa..Na mwingine anapiga simple & cheap stuff anatoka mbya..
 
Kupendeza haijalishi nguo ulizovaa zinathamani gani bali kama unajua kuzipangilia na unajua nguo nzuri basi..Kuna watu wanavaa nguo za thamni kubwa sana lakin huwezi muangalia mara mbili anafanya hadi uchukie nguo aliyoivaa..Na mwingine anapiga simple & cheap stuff anatoka mbya..
Very true
Kuvaa nguo ya gharama na kupendeza ni vitu viwili tofauti mfano Mimi nanunua hata nguo za buku kisha naenda kwa fundi kuichakachua zen natoka bomba
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Very true
Kuvaa nguo ya gharama na kupendeza ni vitu viwili tofauti mfano Mimi nanunua hata nguo za vuku kisha naenda kwa fundi kuichakachua zen natoka bomba
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kabisa hiyo na unashangaa kila nguo ukitupia lazima uulizwe asee hizi unazioteaga wap? Kumbe umepiga kitu ya ten tu kutoka kiborolony..
 
Utasikia "Bitoz una hela" kumbe kutoka juu hadi chini nimetupia buku 17 tu
Hahahahahaah na umependeza kuliko Muhasibu wa Tanapa(huu ni mfano tu)unakuta kavaa nguo zenye thamani ya laki 3 na haonekani kabisa....Surual fundo zimejikusanya sehemu moja zote..
 
Back
Top Bottom