mashoodjr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2016
- 2,222
- 1,509
Hahaha mbona povu linakutoka kwa wingi? tulia dogo endelea kuenjoy fashion.Endelea kunya porini & kuuza mapapai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mbona povu linakutoka kwa wingi? tulia dogo endelea kuenjoy fashion.Endelea kunya porini & kuuza mapapai
kabisa mkuu hata mimi nimeshuhudia mara nyingi suti inaenda na saa yenye mkanda wa plastic isipokuwa inategemea aina ya saa na muonekano wakeInategemea na saa yenyewe.....TAG HEUR CARRERA $5500 ina mkanda wa plastic na inavaliwa na suti au kitu chochote.
![]()
Hebu nipe uhusiano wa huu uzi na wanaume wa darslum.Wanaume wa Dar katika ubora wao
Wanaume wa huko kwenu wanatembea uchi???Wanaume wa Dar katika ubora wao
Wewe mbona umeshavaa tiyari imebakia uolewe tu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]We bwege usitafute kick
Kiherehere chako kitakuvisha sketi
[emoji156] [emoji160]
............
Umetoka kujitoa hehehe mtaisoma tu
Tena ya chedema.Hapo namba moja unakuta mtu kavaa rangi kama bendera.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Tena ya chedema.
Very trueKupendeza haijalishi nguo ulizovaa zinathamani gani bali kama unajua kuzipangilia na unajua nguo nzuri basi..Kuna watu wanavaa nguo za thamni kubwa sana lakin huwezi muangalia mara mbili anafanya hadi uchukie nguo aliyoivaa..Na mwingine anapiga simple & cheap stuff anatoka mbya..
Kabisa hiyo na unashangaa kila nguo ukitupia lazima uulizwe asee hizi unazioteaga wap? Kumbe umepiga kitu ya ten tu kutoka kiborolony..Very true
Kuvaa nguo ya gharama na kupendeza ni vitu viwili tofauti mfano Mimi nanunua hata nguo za vuku kisha naenda kwa fundi kuichakachua zen natoka bomba
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahahahahaah na umependeza kuliko Muhasibu wa Tanapa(huu ni mfano tu)unakuta kavaa nguo zenye thamani ya laki 3 na haonekani kabisa....Surual fundo zimejikusanya sehemu moja zote..Utasikia "Bitoz una hela" kumbe kutoka juu hadi chini nimetupia buku 17 tu
Oversize + marangirangiHahahahahaah na umependeza kuliko Muhasibu wa Tanapa(huu ni mfano tu)unakuta kavaa nguo zenye thamani ya laki 3 na haonekani kabisa....Surual fundo zimejikusanya sehemu moja zote..