longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
eeeh! jombaa....OYYY!!OOOYYYYY!!!
Kitu R-Chugga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eeeh! jombaa....OYYY!!OOOYYYYY!!!
Kitu R-Chugga.
davidson frere huyo jamaa black anajua sana kudizain suti,nakubali sana kazi zake
ClownShati bluu
Suruali njano
Sox kijani
Mkanda mweusi
Tai zambarau
Lazima ucheke
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Uvaaji wa magauni mafupi,vimini &vichupi !!Mbona kwa wamama hujatoa darasa?
Uwe unapitia post vzr..hatujasema ni formula ya kumpangia MTU avaajeHakuna formula kwenye mavazi, mtu maarufu eg Neimer akitupia suti na ndala, hata we unayejiita Bitoz utaiga tu. Ila akiwa kajamba nani utamwona mshamba.
Hizo mentali ni ka vile mbogo anavyotupia akiwa kwenye ndege wakati wazungu huvaa simple tu.
Pia angalia vichezaji vyetu vya mpira navyo vinavyovaa mahedi phone, ka sio kuiga ni nini?!
Au upinde wa mvuaHapo namba moja unakuta mtu kavaa rangi kama bendera.
Kasema kwa vijana..Au wewe ni bibi kijana unafukuzana fashion za vijanaMbona kwa wamama hujatoa darasa?
Usiseme sana kama hujaona,we all under fake ID's. EasyKasema kwa vijana..Au wewe ni bibi kijana unafukuzana fashion za vijana
Uwe unapitia post vzr..hatujasema ni formula ya kumpangia MTU avaaje
Nguo kazi zake ni kuficha uchi + kumpendezesha mtu.....
Kwahiyo km ni kwa lengo la kuficha uchi tungekua tunavaa hadi mataulo kwenye sherehe !!!
Aisee kwahio ukishakuwa na mke suala la kuvaa vizuri halikuhus??!! Kwahio hawa vijana na watu wazima wanaovaa vizuri hawana mke wala watoto??!!! AMAZING........................mkishakua na mke ndani plus mtoto m1 hii thread kwako itakua zilipendwa.
Aisee kwahio ukishakuwa na mke suala la kuvaa vizuri halikuhus??!! Kwahio hawa vijana na watu wazima wanaovaa vizuri hawana mke wala watoto??!!! AMAZING........................