Darasa la saba wengi wanajiweza kiuchumi kuliko waliohitimu Chuo

Darasa la saba wengi wanajiweza kiuchumi kuliko waliohitimu Chuo

Unaongelea hawa hawa wanaooa na kuolewa wakiwa na 18 yrs. Mpaka anafika 30 ana chalii 5.

Acha uongo mkuu labda useme wale walioishia form 4 sio la saba.

Hao hao lasaba na elimu zenu za chuo hamuwawezi Kiuchumi
 
Rizki haina formula. Na kusoma sana sio kuwa na akili ya maisha. Kiufupi tuishi kwa kuheshimiana hakuna mjuzi wa maisha
 
Rizki haina formula. Na kusoma sana sio kuwa na akili ya maisha. Kiufupi tuishi kwa kuheshimiana hakuna mjuzi wa maisha

Hao wahitimu wa chuo wanachagua sana kazi then wanasubiria kuajiriwa serikalini kitu ambacho hakipo wanatakiwa wajiajiri tu wanaongeza taifa kuwa nawajinga wengi
 
Acha uongo,ukiangalia ratio utagundua hao unaowasifia ni kiasi kidogo mno wamefanikiwa,wengi wao hali mbaya sana kuliko wasomi.
 
Haijalishi aliyesoma Kasoma tu hata kama alipoteza muda gani ndugu..
Una point lakini kibongo bongo elimu kama hela huna unaonekana kichaa tu.

Wewe hela huna ulete kisomi kwenye vikao vya familia utaambiwa unataka kuanzisha vurugu na utakuwa unatengwa.
 
Haujui kusoma pia ni Mafanikio au?

Ujue kusoma tu na una elimu pia ya chuo na bado upo kwenu unawabania ugali wadogo zako

Hauwez hata jilipia pango- si bora ufe tu

Jiajirini au nendeni mkalime mashamba ya serikali
 
Hao hao lasaba na elimu zenu za chuo hamuwawezi Kiuchumi
Jidanganye ndgu, sijui upo mkoa gani huo ila la saba wengi wameharibikiwa mno.
Walevi wa pombe za kienyeji wengi ni hao la saba, sema sasa huwezi kuwagundua maana wengi wao wamezeeka mapema unaweza kusema ni wq mwaka 80 ila kwa mwenyeji anawafahamu.
 
Msidanganye watu

Kama umemaliza chuo na bado upo nyumba na Huu ni mwaka wa 10 ndio utajua kama tunadanganya watu

Wahitimu wanasubiri kuajiliwa na serikali na wakati wanaweza kujiajiri bali wana mawazo mgando
 
Jidanganye ndgu, sijui upo mkoa gani huo ila la saba wengi wameharibikiwa mno.
Walevi wa pombe za kienyeji wengi ni hao la saba, sema sasa huwezi kuwagundua maana wengi wao wamezeeka mapema unaweza kusema ni wq mwaka 80 ila kwa mwenyeji anawafahamu.

Sasa hao wanachuo ndio wameharibikiwa kama haujui wanashinda maofic ya kubet wanatembea mpaka viatu vinaisha upande mmoja na wazungu wamewajulia wamewaongezea maofic ya kubet kibao mjazane humo mnanuka jasho
 
Kama umemaliza chuo na bado upo nyumba na Huu ni mwaka wa 10 ndio utajua kama tunadanganya watu

Wahitimu wanasubiri kuajiliwa na serikali na wakati wanaweza kujiajiri bali wana mawazo mgando
Hakuna darasa la saba siku hizi, waliosoma vyuo wanajitafuta kwenye boda, umachinga, daladala etc
 
Acha uongo,ukiangalia ratio utagundua hao unaowasifia ni kiasi kidogo mno wamefanikiwa,wengi wao hali mbaya sana kuliko wasomi.

Wana hali mbaya lakini wapo kwenye process utawakuta kwenye biashara zao kama wamekosa utawakuta na umachinga kariakoo yaani sio watu wakulala kama hao wakuchagua kazi wahitimu wa vyuo
 
Hakuna darasa la saba siku hizi, waliosoma vyuo wanajitafuta kwenye boda, umachinga, daladala etc

Hao masista duu na matozi wachuo wawe wamachonga au makondacta acha uongo hawafanyi hizo kazi wanaona kama wanajidhalilisha wanasubir kuajiliwa na serikali
 
Acha uongo,ukiangalia ratio utagundua hao unaowasifia ni kiasi kidogo mno wamefanikiwa,wengi wao hali mbaya sana kuliko wasomi.
Kwako wewe mafanikio unayatafsiri vipi?

Maisha ya Mtanzania akiwa na uhakika wa kuingiza siku yake hiyo inamtosha kuonekana anajiweza maisha(naona hata serikali imelibariki hilo pale wanapotangaza kiasi kwa $) sasa kama huyo darasa la saba failure ana uwezo wa kuoa akalisha familia akajenga na kijumba chake huyo siyo mwenzako.

Wapo wasomi wanaingia 35 hawana walichofanya duniani siyo kuowa siyo mtoto zaidi wamekuwa lia lia kwa wazazi wao while wapo wasiosoma wanategemewa na wazazi wao kwa kila kitu.

Tukubali tukatae elimu ya kuta nne kwa Mtanzania haina msaada wowote ila ni msiba mzito (japo sisemi elimu haifai)
 
Kwako wewe mafanikio unayatafsiri vipi?

Maisha ya Mtanzania akiwa na uhakika wa kuingiza siku yake hiyo inamtosha kuonekana anajiweza maisha(naona hata serikali imelibariki hilo pale wanapotangaza kiasi kwa $) sasa kama huyo darasa la saba failure ana uwezo wa kuoa akalisha familia akajenga na kijumba chake huyo siyo mwenzako.

Wapo wasomi wanaingia 35 hawana walichofanya duniani siyo kuowa siyo mtoto zaidi wamekuwa lia lia kwa wazazi wao while wapo wasiosoma wanategemewa na wazazi wao kwa kila kitu.

Tukubali tukatae elimu ya kuta nne kwa Mtanzania haina msaada wowote ila ni msiba mzito (japo sisemi elimu haifai)

Mkuu ungekuwa karibu ningekuongezea pesa ununue kiroba cha kilo 50 cha unga tatzo tupo mbali mbali na mitandao yangu ya pesa haifanyi kazi

Sema hongera sana Kwa kunyoosha maelezo
 
Back
Top Bottom