Darasa la saba wengi wanajiweza kiuchumi kuliko waliohitimu Chuo

Darasa la saba wengi wanajiweza kiuchumi kuliko waliohitimu Chuo

Sasa hao wanachuo ndio wameharibikiwa kama haujui wanashinda maofic ya kubet wanatembea mpaka viatu vinaisha upande mmoja na wazungu wamewajulia wamewaongezea maofic ya kubet kibao mjazane humo mnanuka jasho
Aloo kumbe ni wewe, upuuzwe tu huna hoja..
 
Mnachagua vibaya vya kusomea tatzo
Samahani kama nimekuelewa......Tanzania tuna maProfesa,hapan'shaka wao wamechagua vizuri vya kusomea.sasa nijuze kuna yupi ni tajiri?
 
Inachosha sanaa

Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu

Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu

Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri

Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi

Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni

Na bado mpo tu
Akíli za kimaskini hizi
 
Samahani kama nimekuelewa......Tanzania tuna maProfesa,hapan'shaka wao wamechagua vizuri vya kusomea.sasa nijuze kuna yupi ni tajiri?

Maprofesa ambao wananunulika
 
Mfano mzuri ni mbunge Msukuma. Ila darasa la Saba kwa "kuthubutu" katika utajiri anaweza kuliko msomi.
 
Acheni kutusemeni na degree kama ninaamka hasubuhi ninauwezo wakumuita pisi akaja geto nini kingine nataka ??
 
Mfano mzuri ni mbunge Msukuma. Ila darasa la Saba kwa "kuthubutu" katika utajiri anaweza kuliko msomi.

Sema jamaa amezidi mali zote zilee daah hakuna tegemez lingine analitegemea?
 
Inachosha sanaa

Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu

Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu

Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri

Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi

Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni

Na bado mpo tu
Prof. Adolf Mkenda njoo huku !!!
 
Inachosha sanaa

Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu

Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu

Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri

Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi

Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni

Na bado mpo tu

Unaotea au umefanya uchunguzi na upembuzi yakinifu?
 
Maisha ni sawa na kucheza mpira, darasa la saba amejiandaa vema kucheza. Mawazo yake yote ni namna ya kucheza, funga bao kwa namna yoyote hata kwa kumla mtu mtama wa kishua. Namalizia kwa kusema "life is a game".
 
Acheni kutusemeni na degree kama ninaamka hasubuhi ninauwezo wakumuita pisi akaja geto nini kingine nataka ??
Kwamba iyo pisi ikija ghetto unaimbia iyo username yako ya jf au??? jokes [emoji38][emoji38]
 
Inachosha sanaa

Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu

Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu

Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri

Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi

Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni

Na bado mpo tu
we kenge kaishi maisha yako. Unawajuaje waliomalia chuo km we hujafika chuo.
 
Haujanifundisha ila hivyo ndivyo nitakavyofanya

Wakimaliza la saba tu nahakikisha wanajua kusoma na kuandika; nawatafutia mwalimu mzuri wa kingereza wa miezi sita nahakikisha tena wanajua kingereza vizur kuliko muhitimu wa chuo kisha nawauliza wanapenda kuwa wakina nani?

Then miaka minne tu kitu watakachosomea watafanikiwa nacho- huko vyuoni mnaongopewa tu
Mtoto wako atoke la saba, umpe course ya kiingereza kisha umuulize anataka kuwa nani na umfanye kuwa anachotaka?

Labda kama umpe auze duka, maana hata kwenye biashara kubwakubwa (makampuni) kunahitajika akili, ndiomaana hata hao mtajiri mnaosema hawakusoma, wametambua mkosa yao na wanalipa pesa ndefu kama ada ili watoto wao wasome.

Hilo toto lako likimaliza la saba, kisha litake kuwa Doctor,Engineer, Pharmacist au kazi nyingine za kitaalamu, hiyo course ya kiingereza itamsaidia nini.?

BALEHE INAKUSUMBUA WEWE, UKIKUA HATAKUJA NA MADA ZA KIPUMBAVU HIVI.
 
Back
Top Bottom