Inachosha sanaa
Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu
Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu
Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri
Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi
Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni
Na bado mpo tu