Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Aloo kumbe ni wewe, upuuzwe tu huna hoja..Sasa hao wanachuo ndio wameharibikiwa kama haujui wanashinda maofic ya kubet wanatembea mpaka viatu vinaisha upande mmoja na wazungu wamewajulia wamewaongezea maofic ya kubet kibao mjazane humo mnanuka jasho
Sawa.Usikubali kupoteza mda tena
Samahani kama nimekuelewa......Tanzania tuna maProfesa,hapan'shaka wao wamechagua vizuri vya kusomea.sasa nijuze kuna yupi ni tajiri?Mnachagua vibaya vya kusomea tatzo
Akíli za kimaskini hiziInachosha sanaa
Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu
Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu
Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri
Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi
Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni
Na bado mpo tu
SIJAKUELEWA!Maprofesa ambao wananunulika
Prof. Adolf Mkenda njoo huku !!!Inachosha sanaa
Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu
Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu
Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri
Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi
Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni
Na bado mpo tu
Inachosha sanaa
Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu
Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu
Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri
Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi
Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni
Na bado mpo tu
Aibu sana Professor kua chawa.Wasomi wamekuwa chawa e.g kitila mkumbo
Kwamba iyo pisi ikija ghetto unaimbia iyo username yako ya jf au??? jokes [emoji38][emoji38]Acheni kutusemeni na degree kama ninaamka hasubuhi ninauwezo wakumuita pisi akaja geto nini kingine nataka ??
we kenge kaishi maisha yako. Unawajuaje waliomalia chuo km we hujafika chuo.Inachosha sanaa
Mtu anafeli la saba na kuanza kujishughulisha kufanya kazi za hapa na palee mwisho anapata mtaji anajiajiri safar ya maisha inaanza baada ya miaka kumi anajiweza mpaka anafikia kuwaajili wahitimu wa chuo Kwa mishahara mikubwa tu
Ila unakuta mtu anahitimu chuo yupo mitaani tu mpaka miaka 15 hana ajira wala ajajiajiri yupo tu anaangaika mitaani yaani amemaliza chuo ana elimu kubwa tu lakini anapitwa na darasa la saba , sijui wakoje hawa watoto wetu tunawasomesha bure tu
Wapo tu mitaani kazi yao kubeti tu wakike Kwa wakiume hawaeleweki wakisikia ajira imetangazwa wanatakiwa watu 20 wao wanaenda kama 500 kwenye interview sasa mnashindwaje kujiajiri
Amemaliza chuo hata kuunda kikombe cha mbao hawezi, ubongo elimu makamasi
Kazi mkisikia mtu ameanza na mtaji wa elf 50 amepambana mpaka amefikisha ml 20 mnaanza kumtukana mitandaoni
Na bado mpo tu
Mtoto wako atoke la saba, umpe course ya kiingereza kisha umuulize anataka kuwa nani na umfanye kuwa anachotaka?Haujanifundisha ila hivyo ndivyo nitakavyofanya
Wakimaliza la saba tu nahakikisha wanajua kusoma na kuandika; nawatafutia mwalimu mzuri wa kingereza wa miezi sita nahakikisha tena wanajua kingereza vizur kuliko muhitimu wa chuo kisha nawauliza wanapenda kuwa wakina nani?
Then miaka minne tu kitu watakachosomea watafanikiwa nacho- huko vyuoni mnaongopewa tu