Darasa la saba wengi wanajiweza kiuchumi kuliko waliohitimu Chuo

Una point lakini kibongo bongo elimu kama hela huna unaonekana kichaa tu.

Wewe hela huna ulete kisomi kwenye vikao vya familia utaambiwa unataka kuanzisha vurugu na utakuwa unatengwa.
Katika idadi ya Watanzia wote (kwa mujibu wa sensa), jaribu kuangalia uwano kati ya waliosoma na wasiosoma kisha linganisha hali za maisha yao.

Wasiosoma kisha wakaishi maisha mazuri wapo ila ni wachache sana ikilinganisha na hao waliosoma.

Nenda katika level ya kidunia kisha niletee matajiri hata 10 duniani ambao hawana kisomo.
 
Tafuta kitabu kinaitwa "Why A's students works for C's students"

Utaelewa.
 

Sasa unanipangia maisha yangu wewe mpagani, acha nikue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…