Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,643
Ndio tatizo la wasanii WA bongo afu akiloose KWny game watamsingizia chibu kawaloga hahahaa. ..pole yke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cjaona chuki yoyote ya mleta uzi. Kuwepo klabu haimaanishi kila aliyekuwepo pale ana access ya JF,au ni lazima aandike huku. Big up mleta uzi!
Jna hapa Moshi kulikuwa na uzinduzi wa Club hapa town maeneo ya Kuringe, sasa cha kushangaza huyu bwana alilewa bwiii, kiasi kwamba hata shoo yenyewe haikuwa tam kivile. Sasa nakushauri punguza ulevi utakukwamisha.
Kaja lini huko..? Si aliambiwa na Madokta wa muhimbili apumzike asifanye shoo kutokana na Ajali aliyopata
Weka picha Uisapoti Stori yako otherwise Umetumwa kuchafua watu
Nalo linawezekana kweli maana taatifa bila Picha ni sawa naTeam Janja Janja at Work.
hv hamna namna ya kuipata hii pichaView attachment 449528Mkuu chukua hiyo ukanywe soda
Maskini atapotea sasa hiviJna hapa Moshi kulikuwa na uzinduzi wa Club hapa town maeneo ya Kuringe, sasa cha kushangaza huyu bwana alilewa bwiii, kiasi kwamba hata shoo yenyewe haikuwa tam kivile. Sasa nakushauri punguza ulevi utakukwamisha.
Hii show ya club downtown nilikuwa pale MG hotel opposite na hiyo club.. Niliwasikia watu wanasema jamaa yuko bwiiii ameharibu show.. Sikuchukulia serious sana nikajua labda Bahati mbaya tu.. Ila sasa kama kumbe ni tabia yake inabidi ajitathimini upya..
Kuna watu watasema anaonewa gere ila ni watu hao hao watakuwa wakwanza kumcheka siku akipotea..
Nakumbuka siku MDB alipokuwa anamtema kwa mara ya kwanza young dee akasema kinachomponza young dee ni kampani aliyo nayo! Na hiki pia kiko kwa darasa watu wanaomzunguka ni wa hovyo sana.. Kuwa na kipaji ni jambo moja but unahitaji uzungukwe na watu positive wenye kuona mbali..
Binafsi alinidissappoint juzi alivyopata ajali alafu anasema "hawatuwezi"!! Ni utoto wa hali ya juu..
Darasaa ni msanii mzuri but ana mambo mengi sana ya kuyarekebisha ili afike kule anakotaka..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Si useme tu ukweli ulikuwemo ndani ya hiyo club?[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Ole wako nirewind matukio nikute hiyo siku uliniaga mapema au ulikuwa huelewekieleweki. [emoji379]
I trust you sweetheart.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
No hny! Sikuwa downtown bhana..
Nilikuwa opposite na hapo tena for just a few minutes ndio nikasikia hayo!!
Mbona juzi kati tu hapa, we rewind tu utakumbuka that day tulikesha wote [emoji6]
Upo? Long time no seee.Upo? Long time no see