Darasa Punguza ulevi

Darasa Punguza ulevi

Ndio tatizo la wasanii WA bongo afu akiloose KWny game watamsingizia chibu kawaloga hahahaa. ..pole yke
 
Cjaona chuki yoyote ya mleta uzi. Kuwepo klabu haimaanishi kila aliyekuwepo pale ana access ya JF,au ni lazima aandike huku. Big up mleta uzi!

Yaani alilewa hata kuondoka baada ya show ni kama alikuwa anabulizwa tu, pombe inamzidi nguvu hata kama ana maadui wanaweza kutumia mwanya huo wakamuwekea hadi madawa kwenye kilevi, maana unakunywa hadi hujitambui
 
Kaja lini huko..? Si aliambiwa na Madokta wa muhimbili apumzike asifanye shoo kutokana na Ajali aliyopata
Weka picha Uisapoti Stori yako otherwise Umetumwa kuchafua watu
 
Jna hapa Moshi kulikuwa na uzinduzi wa Club hapa town maeneo ya Kuringe, sasa cha kushangaza huyu bwana alilewa bwiii, kiasi kwamba hata shoo yenyewe haikuwa tam kivile. Sasa nakushauri punguza ulevi utakukwamisha.
IMG_20161223_164530_762.jpg
Kwani Yeye sio Mpenzi wa Bwana Pombe????
 
Kaja lini huko..? Si aliambiwa na Madokta wa muhimbili apumzike asifanye shoo kutokana na Ajali aliyopata
Weka picha Uisapoti Stori yako otherwise Umetumwa kuchafua watu

Kaja lin wap?? Jana alikuwa moshi
 
Jna hapa Moshi kulikuwa na uzinduzi wa Club hapa town maeneo ya Kuringe, sasa cha kushangaza huyu bwana alilewa bwiii, kiasi kwamba hata shoo yenyewe haikuwa tam kivile. Sasa nakushauri punguza ulevi utakukwamisha.
Maskini atapotea sasa hivi
 
Hii show ya club downtown nilikuwa pale MG hotel opposite na hiyo club.. Niliwasikia watu wanasema jamaa yuko bwiiii ameharibu show.. Sikuchukulia serious sana nikajua labda Bahati mbaya tu.. Ila sasa kama kumbe ni tabia yake inabidi ajitathimini upya..

Kuna watu watasema anaonewa gere ila ni watu hao hao watakuwa wakwanza kumcheka siku akipotea..

Nakumbuka siku MDB alipokuwa anamtema kwa mara ya kwanza young dee akasema kinachomponza young dee ni kampani aliyo nayo! Na hiki pia kiko kwa darasa watu wanaomzunguka ni wa hovyo sana.. Kuwa na kipaji ni jambo moja but unahitaji uzungukwe na watu positive wenye kuona mbali..

Binafsi alinidissappoint juzi alivyopata ajali alafu anasema "hawatuwezi"!! Ni utoto wa hali ya juu..

Darasaa ni msanii mzuri but ana mambo mengi sana ya kuyarekebisha ili afike kule anakotaka..

Si useme tu ukweli ulikuwemo ndani ya hiyo club?[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Ole wako nirewind matukio nikute hiyo siku uliniaga mapema au ulikuwa huelewekieleweki. [emoji379]
 
Binafsi namuona kama msanii wenye uwezo wa kufika mbali lkn bado anapishana na status yake sana.Kuanzia interview na uhusiano wa moja kwa moja na mashabiki wake.
Kwa level yake sasa ana machaguo mawili..
1:Kua bora zaidi na kusahau umasikin
2:kufanya kazi kwa mazoea na kushuka hta asahau kama aliwahi kua juu.
 
Si useme tu ukweli ulikuwemo ndani ya hiyo club?[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Ole wako nirewind matukio nikute hiyo siku uliniaga mapema au ulikuwa huelewekieleweki. [emoji379]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

No hny! Sikuwa downtown bhana..
Nilikuwa opposite na hapo tena for just a few minutes ndio nikasikia hayo!!

Mbona juzi kati tu hapa, we rewind tu utakumbuka that day tulikesha wote [emoji6]
 
Watu wa kaskazini wana wivu sana ....team ...chaggadema
 
Darasa, ni msanii, wa homa ya vipindi ndivyo walivyo wenye rap
Ajifunze kwa wenzake kwa wenzake kama weusi fiq
Wajanja wamjini watamtumia watamtelekeza
 
Back
Top Bottom