pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Haa nae kakimbia bila break
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sub-Machine GunNaomba kujua kirefu cha SMG uliyoandika hapo
Kuna Darasa alafu kuna Bill Nas
Asante kwa tafsiri lakini yeye hujiita DarasaCMG na siyo SMGSub-Machine Gun
Asante kwa tafsiri lakini yeye hujiita DarasaCMG na siyo SMG
Ule muonekano hata akija kuacha mambo itabidi akafanyiwe plastick surgery ndio jamii ikubali kuwa ameacha.Kama ni kweli sitashangaa hata muonekano inaonekana na mzee wa mitingi sana na ganja
Naomba unijibu na hiyo CMG tafadhalimimi nimekujibu kuhusu SMG uliyouliza.
Anataka kuachia wimbo Mpya [HASHTAG]#Kikikwapikipiki[/HASHTAG].Kuna taarifa zinasambaa kuwa darasa (S,M,G) amekuwa teja ...inasemakana hata studio aonekani ....producer wake Mr T.Touch amesema anasiku kibao aonekani studio...aisee Leo ndo nimeamin bongo Nyoso.
Yaan wabongo mmetumia nguvu ya Umma kuhakikisha mnampoteza darassa kwenye game.
CMG ni member wa Bloods Gang Unit.Naomba unijibu na hiyo CMG tafadhali
Darasa hata ukimuangalia usoni tu unajua mwana ni addicted kabisa thoungh ngoma zake kali sana,wikiendi,Mziki,gheto....Kuna taarifa zinasambaa kuwa darasa (S,M,G) amekuwa teja ...inasemakana hata studio aonekani ....producer wake Mr T.Touch amesema anasiku kibao aonekani studio...aisee Leo ndo nimeamin bongo Nyoso.
Yaan wabongo mmetumia nguvu ya Umma kuhakikisha mnampoteza darassa kwenye game.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli we fyatuUle muonekano hata akija kuacha mambo itabidi akafanyiwe plastick surgery ndio jamii ikubali kuwa ameacha.