Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo hao wabongo ndio waliomnunulia hayo madawa wakamlisha?Kuna taarifa zinasambaa kuwa darasa (S,M,G) amekuwa teja ...inasemakana hata studio aonekani ....producer wake Mr T.Touch amesema anasiku kibao aonekani studio...aisee Leo ndo nimeamin bongo Nyoso.
Yaan wabongo mmetumia nguvu ya Umma kuhakikisha mnampoteza darassa kwenye game.
Kuna Darasa alafu kuna Bill Nas
kitu kimoja mnawaona hawa wasanii kwenye tv mnaona kama wapo vizuri, maisha yao ni ya ovyo sana, wanapotusua kama hivyo na hit tract basi mnamuona mtu wa Mungu, huyu darasa, babuu wa kitaa, country boy, langa, aba, amber lulu, gigy money na madogo wote wanaotokea studio ya aba ni mateja, labda dogo alieko wasafi sasa sasa mavoko ndio alikiepuka hiki kikombe cha madawa ya mikocheniHili wimbi la hawa wasanii kujiingiza kwenye ubwiaji wa sembe, nahisi kuna kikundi cha watu kinawaingiza kwenye huo mtego ilimradi wapate wateja wa hiyo biashara.
Ima kuwawekea bila ya wao kujijua, wakianza arosto ndo wanawaambia tiba mbadala wa hali hiyo ni ipi. Hapo ndo mwanzo wao wa kutumia, sitaki kuamini kila msanii akifanikiwa tu ndo akimbilie huko.
Kuna watu wanatafuta soko kinguvu
kitu kimoja mnawaona hawa wasanii kwenye tv mnaona kama wapo vizuri, maisha yao ni ya ovyo sana, wanapotusua kama hivyo na hit tract basi mnamuona mtu wa Mungu, huyu darasa, babuu wa kitaa, country boy, langa, aba, amber lulu, gigy money na madogo wote wanaotokea studio ya aba ni mateja, labda dogo alieko wasafi sasa sasa mavoko ndio alikiepuka hiki kikombe cha madawa ya mikocheni
Swali, je wote hao ni maamuzi yso au kuna namna fulanikitu kimoja mnawaona hawa wasanii kwenye tv mnaona kama wapo vizuri, maisha yao ni ya ovyo sana, wanapotusua kama hivyo na hit tract basi mnamuona mtu wa Mungu, huyu darasa, babuu wa kitaa, country boy, langa, aba, amber lulu, gigy money na madogo wote wanaotokea studio ya aba ni mateja, labda dogo alieko wasafi sasa sasa mavoko ndio alikiepuka hiki kikombe cha madawa ya mikocheni
huyo wa jina la mwisho ..yaani nina Uhakika kabisaaa ..wla hujakosea ndugu..Mara kibao huwa namkuta maskani ya B.O.B nyuma ya msikiti wa alharamain kinondoni mkwajuni akiwa kwa yule don wao muuza unga ..huwa nawakuta yeye pamoja na petie moneyKuna Darasa alafu kuna Bill Nas
Nilitala nimtukane mleta uzi ila nikagairi.Hivi kwanini watanzania tunapenda sana lawama....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Yaani hayo madawa atumie yeye, alafu walaumiwe wengine eti wamempoteza....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
namimi nahisi kuna nyimbo inakuja anataka attention za watuKiki tu soon atajitokeza kukanusha na wimbo juu
Wabongo tumempoteza!fafanua tafadhari.Kuna taarifa zinasambaa kuwa darasa (S,M,G) amekuwa teja ...inasemakana hata studio aonekani ....producer wake Mr T.Touch amesema anasiku kibao aonekani studio...aisee Leo ndo nimeamin bongo Nyoso.
Yaan wabongo mmetumia nguvu ya Umma kuhakikisha mnampoteza darassa kwenye game.
Asante kwa tafsiri lakini yeye hujiita DarasaCMG na siyo SMG
Naomba unijibu na hiyo CMG tafadhali
CMG =Classic Music GroupCMG ni member wa Bloods Gang Unit.
Mwanachama wa hilo kundi huitwa CMG inawezekana katoa huko.
Kuna Gang kibao Unyamwezini kama Crips, KKK etc