Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Shirika la misaada katika eneo lenye vita la Darfur, limesema Aprili 24 2022 yaliibuka mapigano kati ya waarabu na wasikuwa waarabu magharibi mwa Darfur, na kusababisha vifo na majeruhi
Inaripotiwa kuwa mapigano hayo yalianza Aprili 21 kwa mauaji ya watu wawili na mshambuliaji asiyejulikana huko Kreinik, mashariki mwa Genena, mji mkuu wa jimbo ambapo baadaye makundi yenye silaha yaliwashambulia majeruhi walipokuwa wakitibiwa katika hospitali kuu ya jiji hilo
Aidha, kundi la wanamgambo wanaoungwa mkono na serikali, maarufu kama Janjaweed linashutumiwa kwa kupanga mashambulizi hayo
Inaripotiwa kuwa mapigano hayo yalianza Aprili 21 kwa mauaji ya watu wawili na mshambuliaji asiyejulikana huko Kreinik, mashariki mwa Genena, mji mkuu wa jimbo ambapo baadaye makundi yenye silaha yaliwashambulia majeruhi walipokuwa wakitibiwa katika hospitali kuu ya jiji hilo
Aidha, kundi la wanamgambo wanaoungwa mkono na serikali, maarufu kama Janjaweed linashutumiwa kwa kupanga mashambulizi hayo