Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,836
- 2,536
Daaah. Nilikuaga naenda Internet cafe maeneo ya mlimani City enzi hizo ila baadae nikagundua chimbo jipya ndani ya UDSM ilikuwa bei raisi kweli. Na ukifika Net unafurahi zaidi kama una headphone zako unaplay music huku unasurf Darhotwire. Baadae nika naenda Magomeni Mapipa hii cafe ambayo mpaka sasa bado ipo kwa ajili ya kuangalia porn kwa kificho sana maana walikuwa hawaruhusu