mwanausangi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2021
- 548
- 608
Yoga kadakwa nn, mbona kapotea??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndg yupo jikoni anapika, unataka aje na vibicho?Yoga kadakwa nn, mbona kapotea??
Dah!...nchi ina mengi sana hiiThe state waliamua toka gaberon room no 26...na ilikuwa Ni lazima iwe hivyo..sababu kubwa iluyopelekea maamuz hayo Ni kwamba badala ya ""kujenga taifa yeye alikazana kujenga nchi...""
Huyo poa kabisaBasi ajaye asipokuwa na hayo ila akawa muwazi na anatawala kwa haki, ila mkali kwa wahujumu na wazembe na kwa mafisadi kwa ujumla. Huyo vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3526]Umejiajiri kutokana na upumbafu wako hakuna anayeweza kukuajiri.
Jamaa anachekesha sana, yaani anasifia kuajiriwa dhidi ya kujiajiri. Maana yake anachagua utumwa badala ya kuwa huru. Ndiyo maana kageuka mtunza legacy..bado mnaajiriwa kwa umri gani, upumbavu mtupu halafu unasubiri kusimamiwa km mtumwa amka lala hakuna kutoka sasa staafu.
Ili usiwe mtumwa chini ya mtu jiajiri uwe na amani, kalime, uza dagaa au Mtumba, hii ya kusubiri Mwanamke akuongezee mshahara imepitwa Mkuu gangamala mwanamume
Mwanamume halisi inambidi abuni kazi zake binafsi sio kugangamala nataka kima Cha chini kiwe milioni moja na elfu 10 (1,010,000/) eti aje ashindane na sisi wa mitaaniJamaa anachekesha sana, yaani anasifia kuajiriwa dhidi ya kujiajiri. Maana yake anachagua utumwa badala ya kuwa huru. Ndiyo maana kageuka mtunza legacy..
Itakua wangwe chacha huyoDah hv huyo kijana WA Mr . New culture ambaye alimchallenge Sana Mr. New culture lkn Nia yake ikaishia kwenye graveyard NI Nani huyo?
Wewe unaelewa unachoongea. Hongera sana!Huyo poa kabisa
[emoji38][emoji38][emoji38] what are you talking about my friend!! Eid mubarack kwanza!!Hivi huwezi kuwa wewe ndio yule jamaa wa twitter kipindi cha nyuma alikuwa na info kinoma now ka snitch wana-utetezi yuko kwa wapiga mwingi...
Kule una push agenda
Huku unawakanda
Unanipa mashaka kuna kipindi aliwai post kuwa ana dayari kipindi hicho akiwa wana-utetezi na tena akasema wasimuumize dogo flani kwa sababu dayari anayo yeye!!
But naunganisha dot endi ofu this histri nitajipa majibu...go oni!!!
🤣🤣Hivi huwezi kuwa wewe ndio yule jamaa wa twitter kipindi cha nyuma alikuwa na info kinoma now ka snitch wana-utetezi yuko kwa wapiga mwingi...
Kule una push agenda
Huku unawakanda
Unanipa mashaka kuna kipindi aliwai post kuwa ana dayari kipindi hicho akiwa wana-utetezi na tena akasema wasimuumize dogo flani kwa sababu dayari anayo yeye!!
But naunganisha dot endi ofu this histri nitajipa majibu...go oni!!!