Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Je, kama atakayekuja hatokuwa mropokaji, hatokuwa mpayukaji, atakuwa muwazi na mkali kwa yeyote atakayefanya uzembe, atakayehimiza kuwahi kazini, atakayeajiri, atakayethibiti mafisadi kisawa sawa, atakayeleta nidhamu kazini na maendeleo kwa ujumla, atakayetawala kwa haki n.k

Je, huyo mtampiga nyundo pia?
Atapigwa na wale wasiopenda hivyo vyote ulivyovitaja hapo juu yaani
Mafisadi
Wavivu
Wasiosoma
Viburi
 
Kwa sifa hizo tu!! tutamshika shika!! mahali fulani!! na sisi pia kimya!! kimya!!...ukizingatia dawa ya moto ni moto!!........Hakuna mweusi fisadi wewe!! ,,,hao ni waganga njaa!! rudi shule ndo uje hapa! ...

Nakuelimisha bure mafisadi wote!! ndo waleee! wauza watumwa!! km hujui!! .... unasikia dogo!
Mbona hujamjibu inavyotakiwa? Mtu wa hivi mtamuondoa kwa sababu ipi ya msingi? Jibu kisomi.!
 
Umejiajiri kutokana na upumbafu wako hakuna anayeweza kukuajiri.
bado mnaajiriwa kwa umri gani, upumbavu mtupu halafu unasubiri kusimamiwa km mtumwa amka lala hakuna kutoka sasa staafu.
Ili usiwe mtumwa chini ya mtu jiajiri uwe na amani, kalime, uza dagaa au Mtumba, hii ya kusubiri Mwanamke akuongezee mshahara imepitwa Mkuu gangamala mwanamume
 
Back
Top Bottom