kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Katika ukoo wako aliua wangapi?Kuna yule CEO alikuwa anaua wafanyakazi wake. Ndiyo maana wafanyakazi wanaona bora huyu kwani hali zao zimeimarika na wana amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika ukoo wako aliua wangapi?Kuna yule CEO alikuwa anaua wafanyakazi wake. Ndiyo maana wafanyakazi wanaona bora huyu kwani hali zao zimeimarika na wana amani
Madhara ya vyeti vyako fake bado yana kukula kwa kichwa!!Kuna yule CEO alikuwa anaua wafanyakazi wake. Ndiyo maana wafanyakazi wanaona bora huyu kwani hali zao zimeimarika na wana amani
Acha ujinga mkuu, mimi nimejiajiri sasa cheti cha nini? Jiwe mwenyewe alikuwa na cheti feki, jamaa mmoja akataka kuthibitisha hilo Jiwe akamuua.Madhara ya vyeti vyako fake bado yana kukula kwa kichwa!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nikajuwa ndio huyo yoga kauunguzwa na mangeUtakua umechanganya story, maana loveness mamuya na mange ni kitu kimoja. Ni marafiki wa karibu Sana
Atapigwa na wale wasiopenda hivyo vyote ulivyovitaja hapo juu yaaniJe, kama atakayekuja hatokuwa mropokaji, hatokuwa mpayukaji, atakuwa muwazi na mkali kwa yeyote atakayefanya uzembe, atakayehimiza kuwahi kazini, atakayeajiri, atakayethibiti mafisadi kisawa sawa, atakayeleta nidhamu kazini na maendeleo kwa ujumla, atakayetawala kwa haki n.k
Je, huyo mtampiga nyundo pia?
Mbona hujamjibu inavyotakiwa? Mtu wa hivi mtamuondoa kwa sababu ipi ya msingi? Jibu kisomi.!Kwa sifa hizo tu!! tutamshika shika!! mahali fulani!! na sisi pia kimya!! kimya!!...ukizingatia dawa ya moto ni moto!!........Hakuna mweusi fisadi wewe!! ,,,hao ni waganga njaa!! rudi shule ndo uje hapa! ...
Nakuelimisha bure mafisadi wote!! ndo waleee! wauza watumwa!! km hujui!! .... unasikia dogo!
Habari za kijiwe jiwe ni kama zipi?Akileta habari za kijiwejiwe na nyundo tu
Uongo, wizi na uuajiHabari za kijiwe jiwe ni kama zipi?
Jamaa kaamua kuturingia aisee yupo kimya sana
Basi ajaye asipokuwa na hayo ila akawa muwazi na anatawala kwa haki, ila mkali kwa wahujumu na wazembe na kwa mafisadi kwa ujumla. Huyo vipi?Uongo, wizi na uuaji
Umejiajiri kutokana na upumbafu wako hakuna anayeweza kukuajiri.Acha ujinga mkuu, mimi nimejiajiri sasa cheti cha nini? Jiwe mwenyewe alikuwa na cheti feki, jamaa mmoja akataka kuthibitisha hilo Jiwe akamuua.
bado mnaajiriwa kwa umri gani, upumbavu mtupu halafu unasubiri kusimamiwa km mtumwa amka lala hakuna kutoka sasa staafu.Umejiajiri kutokana na upumbafu wako hakuna anayeweza kukuajiri.
Ametupiga arosto mbayaJamaa kaamua kuturingia aisee yupo kimya sana