Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Asante sana mkuuTayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuuTayari
Usijar hata dea, lazima nimjue huyu Tnite. UwiiiihCoca ukiipata code ya Tanzanite usinisahau
Kweli eti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umedanganya.[emoji3531]
Nimemwagiza ras simba aje anisaide [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole mwaya
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Shusha vitu basiMuda wakuendelea sasa!! Mida yetu ile ile usiku usiku tupate epsodes nyingine [emoji21][emoji21]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Nmekucheki pm kiongozi nifanyie na mm hii seriesTayari
Nifanyie wepesi na mimi mkuuTayari
ni vipi kama mr.born town...au watu wake watapitia uzi huu..??
KwakweliSimulia nadharia ambazo hatuzijui hizo tunazijua.
Mbona iko wazi sana mkuuHuu mzigo kama katuni za Masudi Kipanya full mafumbo, dah kweli shule muhimu.
Simulia nadharia ambazo hatuzijui hizo tunazijua.
"wewe mbn zako uleti
Black cat= PAKA a.k.a mtu mrefu..kama ndio huyu bas mkuu umeamua tu mumpa umuhimu..huyu hana lolote hana chochote...internal issue za pale kwake tu zinatosha kumfanya sleepless..sasa uthubutu huo wa ku plan kui subdue nchi yote hii anautoa wapi wakat hapo congo tu kajimbo kamoja tu kujimegea kamemshinda licha ya support ya mabwana zake cia usa na france..yaan ki nchi disorganized kama drc kadunda kujimilikisha as per plan ndio aje atu mudu tz...will never happen everNimenusa vitu vingi sana kwenye hii kitu ambayo lengo kuu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia....Na watakaokuja na hizi topic ni watu kutoka angle mbalimbali na mitandao mbali mbali
Hii ni project ya muda mrefu na kama unaubongo wa kuku huwezi kuielewa ila Watanzania tuwe makini sana sana na tusipokuwa makini tunaenda kuvurugwa..
Kuna force ambayo iko nchi moja ya jirani ndio iko behind hii kitu na lengo ni kumplant mtu kutoka nchi jirani kuongoza hii nchi wakilichukulia advantage ya upepo wa kisiasa..
Nchi mbili jirani ni CIA agents na hii plan inakwenda kuwa excuted from head office hapo jirani...
Kama kweli the Late CEO (kama alivyokuwa blanded humu) alikuwa eliminated basi the one behind the show, ni hao hao with their long term plan, at the end of the day nchi itatekwa na wote tutakuwa mateka...TUWE MAKINI KUSHABIKIA HIVI VITU.....
huyu anayeitwa "Born town" tunaandaliwa tu kisaikolojia na huyu anayeitwa Mzee ambao wengi mmebland kama Mzee wa kusini wanaweza kuwa wahanga ili kuaminisha hizi hekaya kwa watu na watu muanini the mission done..
SKM gang watatumika hapa ila watakuwa overrun maana akili hamna wengi mang'ombe wanaowaza kuishi vizuri tu na jamaa wamepandikiza watu tele miongoni mwao, its long term plan wakichukulia advantage ya ukanda na mfanano wa makabila...
Tuwe makini Tanzania isije kugeuzwa mkoa wa nchi fulani and will be leading from headquater, watu wetu waamke sasa au labda ndio wameshatekwa nao maana wengi wanawaza kula bata na kuishi vizuri mjini tu ila userious na umakini zero....
Huyu anayeitwa "Born town" naye analijua hili si ajabu ndio muokozi wa hii nchi kutoka kwenye hesabu za wale jamaa chini ya yule jamaa "black cat".... Watch out...
Huyu hapa;Hahahah jamani!! Ndio nani huyo??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
We unaweza kujua code za mashoga tu ..usitupigie kelele humuKwa code zote nishajua wahusika.
Ila to be honest, hii nchi inachezewa hivi? Khaaaah.
Yaan mtu anachotaka n mwanae kuwa Rais bas, duuuuuh.
Kama de'levis au Moshe Dayan wame like nishtue niwe serious basi.. mtu chake nimemuona tayarKuna ID's humu za miaka ya 2010-2014 zina like comments tu hadi zinaogopesha[emoji16]
Dah hii kitu inatia hasira sana yaani Tanzania tunataka kuchezewa na watoto wadogo ila wengi wetu hawajui nini kinaendelea na huyo Mr borntown simlaumu kukaa kimya ingawa anammudu "cat" huenda ukimya wake unajambo kama aliliweza lile hashindwi na hili.Nimenusa vitu vingi sana kwenye hii kitu ambayo lengo kuu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia....Na watakaokuja na hizi topic ni watu kutoka angle mbalimbali na mitandao mbali mbali
Hii ni project ya muda mrefu na kama unaubongo wa kuku huwezi kuielewa ila Watanzania tuwe makini sana sana na tusipokuwa makini tunaenda kuvurugwa..
Kuna force ambayo iko nchi moja ya jirani ndio iko behind hii kitu na lengo ni kumplant mtu kutoka nchi jirani kuongoza hii nchi wakilichukulia advantage ya upepo wa kisiasa..
Nchi mbili jirani ni CIA agents na hii plan inakwenda kuwa excuted from head office hapo jirani...
Kama kweli the Late CEO (kama alivyokuwa blanded humu) alikuwa eliminated basi the one behind the show, ni hao hao with their long term plan, at the end of the day nchi itatekwa na wote tutakuwa mateka...TUWE MAKINI KUSHABIKIA HIVI VITU.....
huyu anayeitwa "Born town" tunaandaliwa tu kisaikolojia na huyu anayeitwa Mzee ambao wengi mmebland kama Mzee wa kusini wanaweza kuwa wahanga ili kuaminisha hizi hekaya kwa watu na watu muanini the mission done..
SKM gang watatumika hapa ila watakuwa overrun maana akili hamna wengi mang'ombe wanaowaza kuishi vizuri tu na jamaa wamepandikiza watu tele miongoni mwao, its long term plan wakichukulia advantage ya ukanda na mfanano wa makabila...
Tuwe makini Tanzania isije kugeuzwa mkoa wa nchi fulani and will be leading from headquater, watu wetu waamke sasa au labda ndio wameshatekwa nao maana wengi wanawaza kula bata na kuishi vizuri mjini tu ila userious na umakini zero....
Huyu anayeitwa "Born town" naye analijua hili si ajabu ndio muokozi wa hii nchi kutoka kwenye hesabu za wale jamaa chini ya yule jamaa "black cat".... Watch out...
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ID's humu za miaka ya 2010-2014 zina like comments tu hadi zinaogopesha[emoji16]
Unajua alichokifanya?Black cat= PAKA a.k.a mtu mrefu..kama ndio huyu bas mkuu umeamua tu mumpa umuhimu..huyu hana lolote hana chochote...internal issue za pale kwake tu zinatosha kumfanya sleepless..sasa uthubutu huo wa ku plan kui subdue nchi yote hii anautoa wapi wakat hapo congo tu kajimbo kamoja tu kujimegea kamemshinda licha ya support ya mabwana zake cia usa na france..yaan ki nchi disorganized kama drc kadunda kujimilikisha as per plan ndio aje atu mudu tz...will never happen ever