Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Duuuh,nauona mwisho wa Mr Born Town[emoji17],Jamaa Ni smart Sana Ila hayupo kwa maslahi ya Taifa,wacha afe tuu
Unknown karudi kivingine,kachezewa Sana na Mr bone Town,this time Mr bone Town hachomoki kila Kona anawindwa.
Yaaani kwa uwezo alionao kama angekua mzalendo hii nchi ingekua mbali sana kipindi chake
 
Nimenusa vitu vingi sana kwenye hii kitu ambayo lengo kuu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia....Na watakaokuja na hizi topic ni watu kutoka angle mbalimbali na mitandao mbali mbali

Hii ni project ya muda mrefu na kama unaubongo wa kuku huwezi kuielewa ila Watanzania tuwe makini sana sana na tusipokuwa makini tunaenda kuvurugwa..

Kuna force ambayo iko nchi moja ya jirani ndio iko behind hii kitu na lengo ni kumplant mtu kutoka nchi jirani kuongoza hii nchi wakilichukulia advantage ya upepo wa kisiasa..
Nchi mbili jirani ni CIA agents na hii plan inakwenda kuwa excuted from head office hapo jirani...

Kama kweli the Late CEO (kama alivyokuwa blanded humu) alikuwa eliminated basi the one behind the show, ni hao hao with their long term plan, at the end of the day nchi itatekwa na wote tutakuwa mateka...TUWE MAKINI KUSHABIKIA HIVI VITU.....

huyu anayeitwa "Born town" tunaandaliwa tu kisaikolojia na huyu anayeitwa Mzee ambao wengi mmebland kama Mzee wa kusini wanaweza kuwa wahanga ili kuaminisha hizi hekaya kwa watu na watu muanini the mission done..
SKM gang watatumika hapa ila watakuwa overrun maana akili hamna wengi mang'ombe wanaowaza kuishi vizuri tu na jamaa wamepandikiza watu tele miongoni mwao, its long term plan wakichukulia advantage ya ukanda na mfanano wa makabila...

Tuwe makini Tanzania isije kugeuzwa mkoa wa nchi fulani and will be leading from headquater, watu wetu waamke sasa au labda ndio wameshatekwa nao maana wengi wanawaza kula bata na kuishi vizuri mjini tu ila userious na umakini zero....

Huyu anayeitwa "Born town" naye analijua hili si ajabu ndio muokozi wa hii nchi kutoka kwenye hesabu za wale jamaa chini ya yule jamaa "black cat".... Watch out...
Kwa akili zangu za kuvukia lami nadhani hii prikosheni sio ya kuipuuza!
 
Nb hii ni simulizi tu kama vitabu vingine vinavyosimuliaga story.

Hata hivyo unatakiwa kujua kuwa unaloliona haliwezekani ndo huwa linawezekana kua uyaone.

.kuna riwaya moja nilisoma, yule bwana hakujuwa kuwa mambo magumu yanawezekana kutokea juu yake alikuja kukundungua muda ushaenda.alicheka huku akiwa analia.

Akamuita mtu wake wa karibu sana akamwambia niitie mchungaji fulani , mchungaji akaja akamwambia nimekuitia mambo matatu.
1: akamwambia kila kitu alichokigundua wakati alishachelewa.
2: akamwambia tusali wote......wakasali.
3: mwisho akamwambia wacha tu mimi niishie hapa.

Nilivyosoma kile kitabu nikakimaliza nikagundua yule bwana mwisho alikubali matokeo, na akaona ni sahihi aishie pale naana angeendelea kuwa hai angeshangaza dunia maana pale unapogundua huyu mtu wa karibu yako ndo mbaya wako, pata picha unamfanya nini?

So nyie watoto mmezaliwa jana hamsomi vitabu, riwaya zipo nyingi na za kufundisha.nendeni maktaba mkasome vitabu.
Hii imeniumiza Sana aiseee.so jamaaa alitubu na kujitakasa ndo akasepa
 
Mr. UNKNOWN naona anakuja na revenge, kweli nimeamini visasi huwa haviishi.

Ila Mr. Borntown alichomfanyia 2015 sikutegemea kama angemsamehe kiurahisi hivyo, kuhusu kabla 2025 kuna mengi tutasikia hapo katikati.

2030 kijana wa Mr. Unknown naona akiwa the New CEO, yule bwana mdogo ni mtulivu na hana makuu na watu kabisa.

Morning Ms. Yoga [emoji3059]
Mzee nyboma hii code ya unknown inanishida lainisha kidgo mkuu
 
SijakuGoogle wewe nimewarahisishia watu waliodata na avatar yako wakijua ni wewe ili wasihangaike kukuchungulia kwenye ID. Na unabahati umewafungia pm saizi wangekua wamejazana huko si unaona wanavyokuita mpenzi😅😅

Mwanzo Yoga pm yake ilikuwa wazi, walipoanza kuksumbua kwa mengine wale wasiopenda hii hadithi yake ndipo alaifunga.
 
Back
Top Bottom