Dark days 17/03/20...

Black cat= PAKA a.k.a mtu mrefu..kama ndio huyu bas mkuu umeamua tu mumpa umuhimu..huyu hana lolote hana chochote...internal issue za pale kwake tu zinatosha kumfanya sleepless..sasa uthubutu huo wa ku plan kui subdue nchi yote hii anautoa wapi wakat hapo congo tu kajimbo kamoja tu kujimegea kamemshinda licha ya support ya mabwana zake cia usa na france..yaan ki nchi disorganized kama drc kadunda kujimilikisha as per plan ndio aje atu mudu tz...will never happen ever
 
Hahahah jamani!! Ndio nani huyo??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Huyu hapa;

 
Dah hii kitu inatia hasira sana yaani Tanzania tunataka kuchezewa na watoto wadogo ila wengi wetu hawajui nini kinaendelea na huyo Mr borntown simlaumu kukaa kimya ingawa anammudu "cat" huenda ukimya wake unajambo kama aliliweza lile hashindwi na hili.
 
Unajua alichokifanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…