Dark days 17/03/20...

Ndiyo maana kuna uzi humu jamvini the old CEO aka vasco anatajwa kama ni suala la muda tu,maana ameshameza ndoano.
 
Anapendwa kuliko hata wewe ulie hai.

Ukitaku kujua anapendwa kiasi gani, waweke picha yake igombee urais afu hiyo picha igombee na kiongozi yeyote aliye hai ambae wewe unampenda kuliko jpm siku hiyo utajificha shimoni.
Aisee hii hapana, mbona mwendazake 2020 alitumia dola kutisha sana uchafuzi mkuu wa 2020?
 
Pole sana. Dkt Magufuli anapendwa mno kwa taarifa yako. Ukitaka kuona umaarufu wa Dkt Magufuli nakushauri nenda pale kariakoo halafu anza kumkashifu au panda daladala uanze kumkashfu Dkt Magufuli, kitakachokutokea tujulishe
Hizo ni habari za kujiliwaza kutoka kwa Mataga,kuna Uzi kule unahitaji kwenda kutaja hata kiwanda kimoja kilichojengwa kwenye Tanzania ya Viwanda hewa ya Kayafa.
 
Heee.... Pamoja na hayo JPM ni zawadi ya kipekee Mungu alitubariki tanzania, watu wa aina yake hawazaliwi kila siku, jamaa aliipenda nchi kutoka moyoni na sio kama hawa wasaliti na waigizaji walamba asali
Ule ni laana na mkosi kwa Taifa ndio maana Mungu aliamua kumuondoa kwa corona.
 
Mkuu
Uzi huu ni wa kijasusi na Wana jambo lao wanataka kutufikishia!
Wanatuchora na kutucheka huko pm!
Nimewahi onywa kisa kuchangia huu uzi!
Pia muonyaji akaniambia nikumbuke natumia public internet kuingia humu!
Nikajua we aren't alone with this!!
Kwa hiyo yoga ni dume na anatupoteza maboya na huu uzi wake kwa lengo maalum?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…