Kalamu Yangu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,107
- 1,056
Kweli mkuu. Kwahiyo hakuna kulala tena Kahama kama ilivyokuwa imezoeleka?Nyakanazi - Lusahunga - Biharamulo - Bukoba hadi Mutukula
Unapita muda wowote sasa hivi
V T alipaweka shwari kabisa
Hapa ninazungumzia mabasi, ila magari mengine wanapita. Zamani ilipokuwa ukifika muda wa kupita hiyo njia haijalishi ni mchana au usiku kiroho kinadunda, mpaka umalize salama ulishaomba saaana. Hata hili ni la kushukuru sana, wale watu walitamba sana enzi hizo.Nyakanazi - Lusahunga - Biharamulo - Bukoba hadi Mutukula
Unapita muda wowote sasa hivi
V T alipaweka shwari kabisa
Jeshi la polisi wanilidharau lakini kuna wengine tunajua mziki wao, kuna kipindi mauji na uharifu wakutumia silaha ulikithiri kigoma kilichotokea ni historia. Walikuja marastaman kujifanya wachoraji, wengine wasanii Dah! warundi walikaangwaa kwelikweli. Kuna sniper aliwatwanga za kichwa majambazi kama saba wote walimwagwa hospital vichwa vimetobolewa. Tuache siasa ukijua kulaumu basi jua na kushukuru, viva maafande wetu mnafanya kazi nzuriVitu vingine naogopa kuongea sana nisije nikavuka mstari mwekundu maana dah ulimi uliponza kichwa.
Kuna kamanda amestaafu anaitwa sabuni Toffy ile ya kufulia nguo ,hiyo hiyo mkuu [emoji846]
Huko bwana kuna kipindi kulikuwa na ujambazi sana magari kutekwa tekwa hovyo, askari wananyang'anywa hadi bunduki halafu zinatumika kutupiga sisi wenyewe.
Ukifuatilia unakuta ni watu wanavuka mipaka wanaingia kutoka nje na wanafanya yao,yaani hiyo njia kama mnaianza kuna kibao kinasema "sasa unaanza kuingia pori la..."Kama mlikuwa mnapiga story kila mmoja kimyaaaaa, unawaza sijui nitamaliza salama?
Roho mkononi mwenye kuomba anaanza, tasibihi mkononi, Rozary, wa njia ya msalaba ilimradi kila mmoja anamlilia muumba wake.
Walivyozidi ikabidi wampeleke huyo Kamanda kufanya utalii kwenye mapori yote, yeye mwanzo hakuwa anaenda front anawatuma tu vijana wake.Wakienda na kurudi hawaji na majibu ya uhakika sana maana baada ya muda unasikia tena wapuuzi wameanza tena.(wameteka) na kuua.
Akaona huu ujinga, akaita vijana wake kadhaa akasema kuanzia sasa mimi sikai ofsini tunaenda wote, vijana wanashangaa boss uko serious? Akawaambia twendeni na msiseme tunaenda wapi.
Kabla hawajafika zikaanza kulia,nao wakajibu ila upande wa maharamia ukaonekan una nguvu zaidi. Akaita Landrover kwa simu ya upepo kutoka makao makuu ya mkoa, ikaja iko loaded.
Mkuu tumefika, akawaambia nipishe niwaonyeshe, yeye mwenyewe akapanda juu weeeh, unaambiwa hadi kuku walikuta ni manyoya tu. Salamu zikapelekwa kwa wengine kwamba tulichofanyiwa si kwa akili hizi za hawa jirani zetu tulivyodhani wako, sivyo kumbe, adabu.
Akaendelea kuwajengea uwezo hadi sasa ukisikia ni kwamba aidha wamekufa wakijaribu au walikimbia kuko shwari. Kumbuka huyu alipelekwa huko na born town. Sasa hapa mtu atasemaje jeshi la Polisi ni dhaifu, hatuyajui mengi wanayoyafanya.
Jamani makamanda nimeamua kuongelea mazuri yenu ambayo wananchi hawayajui ndio maana wakati mwingine wanaleta dharau, ila kama mtaona naenda kinyume tafadhali niambieni nifunge kinywa changu.
Nimeongea kwa kifupi sana hilo tukio maana nilisimuliwa ila ni la kweli siku hizi kuko shwari, so Mr born town hawaachi kumlaum na kumlaani kule aliweka intelijensia kali ambayo ilitibua mambo yao mengi.
Utasikia Chi...mbaya sana,hovyo sana, wengi hawawezi kutamka herufi ya jina lake la kwanza.
Kulala KahamaKweli mkuu. Kwahiyo hakuna kulala tena Kahama kama ilivyokuwa imezoeleka?
James mwakibolwaHureeee!! Sasa hapa story imeanza kunoga,ahsante sana mkuu hii ni bonge la mchezo mzuri wenye uhalisia. Bado kuna mtu anasema watu hawana akili?
Sasa usikute hata ule uwanja wa sehemu ya tambarare uliokuwa ujengwe Paka ndiye alishauri usiwepo ili ubaki mmoja tu pale mjini ili hata kama zitakuja ndege kubwa zenye vifaa vya muziki zisitue, yeye pasipo kujua mawazo ya mwenzake akakubali.
Nashauri ule mwingine wa Wilaya iliyopo karibu na njia ya kuelekea kwake uboreshwe zaidi maana upo ,uwekewe taa ili kama ni dharula utumike chap.
Wasanii wetu muwe mnafanya documentary angalau kwenye uigizaji wenu mnaweka vionjo kama hivi, siyo kila siku mapenzi tu.
Kuna watu hawamjui mtu mmoja aliyekuwa mkuu wa operation na mafunzo hapa nchini sasa hivi naye amestaafu ningekuwa ni mimi ningemjengea sanamu kule porini aliweza kuwatuliza sana wale watu.Popote ulipo kamanda salute kwako.
Wazee wa ngerengere wasikie tu wale jamaa ni hatari wanamafunzo kwelikweli ya kutumia silaha na mapambanoWw kamama sikia,hapa nazungumzia baada ya CAT kutamka maneno hayo na vitisho vingi . Kama unavyojua mr born town kalelewa jeshini na si hivyo tu pia alikua kua ni luten kanali wajeshi na kipindi kile alikua anapendwa na bakabaka hatari mpaka sasa mana aliwaboreshia maslahi mengi sana , ndipo iliandaliwa operation maalum mmoja wa makomando kutoka 92 Kj alikwenda mpaka viungani mwa CAT tena ndani Kbsa unajua nn kiliendelea baada ya hapo [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeongea kitu kikubwa sana.Jeshi la polisi wanilidharau lakini kuna wengine tunajua mziki wao, kuna kipindi mauji na uharifu wakutumia silaha ulikithiri kigoma kilichotokea ni historia. Walikuja marastaman kujifanya wachoraji, wengine wasanii Dah! warundi walikaangwaa kwelikweli. Kuna sniper aliwatwanga za kichwa majambazi kama saba wote walimwagwa hospital vichwa vimetobolewa. Tuache siasa ukijua kulaumu basi jua na kushukuru, viva maafande wetu mnafanya kazi nzuri
Ni kweli miili yao tu ni silaha tosha.Wazee wa ngerengere wasikie tu wale jamaa ni hatari wanamafunzo kwelikweli ya kutumia silaha na mapambano
Ila watu wanateseka mazingira ya pale stend siyo mazuri sana, kama ni kulala pale mabasi mengi tu ya dar na sehemu nyingine ndio mwisho wao?Kulala Kahama
Nilisikia ni mkakati
Wa kibiashara
Kuboost uchumi wa huo mji
Ingawa Lusahunga palifaa zaidi
Bukoba ingebaki Km 230 tu
Hizi ngonjera kawape wengine, uongo mtupuuu.Ww kamama sikia,hapa nazungumzia baada ya CAT kutamka maneno hayo na vitisho vingi . Kama unavyojua mr born town kalelewa jeshini na si hivyo tu pia alikua kua ni luten kanali wajeshi na kipindi kile alikua anapendwa na bakabaka hatari mpaka sasa mana aliwaboreshia maslahi mengi sana , ndipo iliandaliwa operation maalum mmoja wa makomando kutoka 92 Kj alikwenda mpaka viungani mwa CAT tena ndani Kbsa unajua nn kiliendelea baada ya hapo [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuambiwa ukweli ndo sina nalojua? Hahahah khaaaahHuna ujualo.
Ok siku njema
Sina uhakika mkuu,maana humu zinatembea codes tu.James mwakibolwa
Mm nilipata ajira wakati wa mkapa, nikaaacha ili niende kusoma . Nikaja nikapata tena wakati wa JK 2011, nikaendelea nayo nikaacha 2016. 2017 wakati wa Magufuli nikapata tena na ndio nipo nayo hadi sasa japo naweza pia kuja kuiacha.Japo born town ana mishe mishe nyingi
Ila dijawahi natamani afe kizembe.
Ana unafuu na uungwana kuliko yule jamaa mzilanKENDE.
born town ana utu kidogo.
Angekuwepo madaraka wewe leo ungekuwa uhakika wa kazi unachosomea chuo.
Mambo yote yalitibuliwa na gule mzilanKENDE.
nilipata kazi yangu ya kwanza kipindi born town yuko hatamuni.
Sasa je,n bora born town aende au pk?me nawaza aende pk kwanza alaf huyu born town ataenda hata kwa kulogwa[emoji1787][emoji1787]Tatizo la borntown hajali watanzania anajali maslah yake mfano utaona hali ya kuwaweka vijana wake kwenye kampuni ili maslahi yake kuendelea kulindwa.na pia mkuu wa kampuni wa sasa hivi kupokea maelekezo kutoka kwake kama tunataka kwenda mbele kama nchi Born town aondolewe hata duniani ila pia huyu pk asiruhusiwe kucheza na kampuni yetu.tukiendelea hivihivi kampuni kuwa ya watu wachache aisee kampuni haitaendelea watu wake wataendelea kuwa masikini Kwa sababu keki itaendelea kuliwa na watu wachache.tutaendelea kuwa kampuni masikini.lakini zuieni huyu pk asichezee kampuni yetu.pia kampuni ifike mahali iendeshwe Kwa model ya kiuchumi Kwa sababu Sasa kampuni inaendeshwa kisiasa zaidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa je,n bora born town aende au pk?me nawaza aende pk kwanza alaf huyu born town ataenda hata kwa kulogwa[emoji1787][emoji1787]
Hii code imenishinda kabisa nifungulien japo kidogoMara ya mwisho
Alikuwa PATANA
Mtu mmoja poa sana
Nilimfahamu
Akiwa msela
Kaya moja
Kati ya tatu
Huko kaskazini
Hapo ni kwenye herufi kubwa zipange vizuri utapata jina la taasisi kubwa ambayo iko ndani ya Wizara ya royal tuwa.Hii code imenishinda kabisa nifungulien japo kidogo
Hyo nmeielewa ila issue kwa mkuu wa opereshenHapo ni kwenye herufi kubwa zipange vizuri utapata jina la taasisi kubwa ambayo iko ndani ya Wizara ya royal tuwa.
Niliyekuwa namuongelea mimi maana wamepit wengi kule ni tonsess. Umemjua?Hyo nmeielewa ila issue kwa mkuu wa opereshen