Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Nyakanazi - Lusahunga - Biharamulo - Bukoba hadi Mutukula

Unapita muda wowote sasa hivi

V T alipaweka shwari kabisa
Hapa ninazungumzia mabasi, ila magari mengine wanapita. Zamani ilipokuwa ukifika muda wa kupita hiyo njia haijalishi ni mchana au usiku kiroho kinadunda, mpaka umalize salama ulishaomba saaana. Hata hili ni la kushukuru sana, wale watu walitamba sana enzi hizo.
 
Vitu vingine naogopa kuongea sana nisije nikavuka mstari mwekundu maana dah ulimi uliponza kichwa.

Kuna kamanda amestaafu anaitwa sabuni Toffy ile ya kufulia nguo ,hiyo hiyo mkuu [emoji846]

Huko bwana kuna kipindi kulikuwa na ujambazi sana magari kutekwa tekwa hovyo, askari wananyang'anywa hadi bunduki halafu zinatumika kutupiga sisi wenyewe.

Ukifuatilia unakuta ni watu wanavuka mipaka wanaingia kutoka nje na wanafanya yao,yaani hiyo njia kama mnaianza kuna kibao kinasema "sasa unaanza kuingia pori la..."Kama mlikuwa mnapiga story kila mmoja kimyaaaaa, unawaza sijui nitamaliza salama?

Roho mkononi mwenye kuomba anaanza, tasibihi mkononi, Rozary, wa njia ya msalaba ilimradi kila mmoja anamlilia muumba wake.

Walivyozidi ikabidi wampeleke huyo Kamanda kufanya utalii kwenye mapori yote, yeye mwanzo hakuwa anaenda front anawatuma tu vijana wake.Wakienda na kurudi hawaji na majibu ya uhakika sana maana baada ya muda unasikia tena wapuuzi wameanza tena.(wameteka) na kuua.

Akaona huu ujinga, akaita vijana wake kadhaa akasema kuanzia sasa mimi sikai ofsini tunaenda wote, vijana wanashangaa boss uko serious? Akawaambia twendeni na msiseme tunaenda wapi.

Kabla hawajafika zikaanza kulia,nao wakajibu ila upande wa maharamia ukaonekan una nguvu zaidi. Akaita Landrover kwa simu ya upepo kutoka makao makuu ya mkoa, ikaja iko loaded.

Mkuu tumefika, akawaambia nipishe niwaonyeshe, yeye mwenyewe akapanda juu weeeh, unaambiwa hadi kuku walikuta ni manyoya tu. Salamu zikapelekwa kwa wengine kwamba tulichofanyiwa si kwa akili hizi za hawa jirani zetu tulivyodhani wako, sivyo kumbe, adabu.

Akaendelea kuwajengea uwezo hadi sasa ukisikia ni kwamba aidha wamekufa wakijaribu au walikimbia kuko shwari. Kumbuka huyu alipelekwa huko na born town. Sasa hapa mtu atasemaje jeshi la Polisi ni dhaifu, hatuyajui mengi wanayoyafanya.

Jamani makamanda nimeamua kuongelea mazuri yenu ambayo wananchi hawayajui ndio maana wakati mwingine wanaleta dharau, ila kama mtaona naenda kinyume tafadhali niambieni nifunge kinywa changu.

Nimeongea kwa kifupi sana hilo tukio maana nilisimuliwa ila ni la kweli siku hizi kuko shwari, so Mr born town hawaachi kumlaum na kumlaani kule aliweka intelijensia kali ambayo ilitibua mambo yao mengi.

Utasikia Chi...mbaya sana,hovyo sana, wengi hawawezi kutamka herufi ya jina lake la kwanza.
Jeshi la polisi wanilidharau lakini kuna wengine tunajua mziki wao, kuna kipindi mauji na uharifu wakutumia silaha ulikithiri kigoma kilichotokea ni historia. Walikuja marastaman kujifanya wachoraji, wengine wasanii Dah! warundi walikaangwaa kwelikweli. Kuna sniper aliwatwanga za kichwa majambazi kama saba wote walimwagwa hospital vichwa vimetobolewa. Tuache siasa ukijua kulaumu basi jua na kushukuru, viva maafande wetu mnafanya kazi nzuri
 
Hureeee!! Sasa hapa story imeanza kunoga,ahsante sana mkuu hii ni bonge la mchezo mzuri wenye uhalisia. Bado kuna mtu anasema watu hawana akili?

Sasa usikute hata ule uwanja wa sehemu ya tambarare uliokuwa ujengwe Paka ndiye alishauri usiwepo ili ubaki mmoja tu pale mjini ili hata kama zitakuja ndege kubwa zenye vifaa vya muziki zisitue, yeye pasipo kujua mawazo ya mwenzake akakubali.

Nashauri ule mwingine wa Wilaya iliyopo karibu na njia ya kuelekea kwake uboreshwe zaidi maana upo ,uwekewe taa ili kama ni dharula utumike chap.

Wasanii wetu muwe mnafanya documentary angalau kwenye uigizaji wenu mnaweka vionjo kama hivi, siyo kila siku mapenzi tu.

Kuna watu hawamjui mtu mmoja aliyekuwa mkuu wa operation na mafunzo hapa nchini sasa hivi naye amestaafu ningekuwa ni mimi ningemjengea sanamu kule porini aliweza kuwatuliza sana wale watu.Popote ulipo kamanda salute kwako.
James mwakibolwa
 
Ww kamama sikia,hapa nazungumzia baada ya CAT kutamka maneno hayo na vitisho vingi . Kama unavyojua mr born town kalelewa jeshini na si hivyo tu pia alikua kua ni luten kanali wajeshi na kipindi kile alikua anapendwa na bakabaka hatari mpaka sasa mana aliwaboreshia maslahi mengi sana , ndipo iliandaliwa operation maalum mmoja wa makomando kutoka 92 Kj alikwenda mpaka viungani mwa CAT tena ndani Kbsa unajua nn kiliendelea baada ya hapo [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazee wa ngerengere wasikie tu wale jamaa ni hatari wanamafunzo kwelikweli ya kutumia silaha na mapambano
 
Jeshi la polisi wanilidharau lakini kuna wengine tunajua mziki wao, kuna kipindi mauji na uharifu wakutumia silaha ulikithiri kigoma kilichotokea ni historia. Walikuja marastaman kujifanya wachoraji, wengine wasanii Dah! warundi walikaangwaa kwelikweli. Kuna sniper aliwatwanga za kichwa majambazi kama saba wote walimwagwa hospital vichwa vimetobolewa. Tuache siasa ukijua kulaumu basi jua na kushukuru, viva maafande wetu mnafanya kazi nzuri
Umeongea kitu kikubwa sana.

Na nilisema watu wa Kanda ya ziwa na Kigoma wasimulie matukio ya namna hii maana wao wanajua madhara ya vita, uhalifu wa kivita, ujambazi, wizi,watu wenye roho mbaya wanawajua vizuri sana, ulafi wa madaraka, chuki za kikabila wanazijua kupitia kwa majirani zao.

Jeshi la Polisi linafanya kazi nzuri sana,mimi mwenyewe nimewahi kusaidiwa na polisi kutoka kwenye mikono ya majambazi yenye silaha za kivita, zile silaha nimewahi kuziona kwenye filamu tu,lakini siku hiyo niliona live.

Kwa weledi wa askari wetu ambaye alikuwa escort wetu hawakuweza kulifikia gari japo walitupiga na kusababisha vifo na majeruhi ila mizigo yetu na pesa ilibaki salama, walikuwa mtu kama 10 na silaha nzito, askari wetu alikomaa nao mpaka wakakimbia.

Kwahiyo watu wachache wanaoharibu sifa za jeshi letu waondolewe na kubakisha wale wanaostahili tu.Kongole pia kwao.

Utasikia watu wanasema tutakinukisha iwe isiwe, ngoja lipigwe bomu la machozi tu,watu hoi, machozi,makamasi kama yote, wengine wanasema tulizimia kabisa, sasa shida yote hii ya nini?

Sasa kwenye hizo Kanda kusikia milio ya mabomu, risasi, moshi wa baruti, maganda ya risasi ilikuwa ni kitu cha kawaida, watu wa kule huwa hawashadadii vita wanajua madhara yake.

Kuna kipindi ikifika saa 12 jioni watu mnaingia ndani mji wote kimya maana hamjui watakuja saa ngapi, hivi mnajua walikuwa wana ujasiri wa kuja mpaka karibu na vituo vya Polisi?

Ila sasa operation ilivyoanza mbona waliimba nyimbo zote? Ukiona mtu anataka vita muangalie mara mbili mbili, labda anajua pa kukimbilia ila sisi wengine ambao hatujazoea shuruba za kutumikishwa au utumwa kwenye nchi za watu hatuwezi kuunga mkono.

Watanzania baadhi wanajidangany kwamba likitokea la kutokea tutaomba hifadhi kwa majirani, sahau hiki kitu,hatupendwi, tunaonewa wivu,huko tutanyanyasika sana.

Bora niongozwe na Rais anayeonekana ni dhaifu machoni pa watu anayenijua udhaifu wangu,mila zangu,utamaduni wangu,miiko yangu, kuliko kutawaliwa na mgeni asiyenijua atanirudisha utumwani.
 
Wazee wa ngerengere wasikie tu wale jamaa ni hatari wanamafunzo kwelikweli ya kutumia silaha na mapambano
Ni kweli miili yao tu ni silaha tosha.

Huko kwa majirani kuna komandoo eti ametishiwa na jambazi panga akatoka ndukiii hadi kambini kwao kuomba msaada, walivyokuja hawakukuta mtu, sasa jambazi akusubirie tu.

Yaani panga jamaa kakimbia, angekuwa na bunduki je? Ila wanavyoisifu nchi yao, jeshi Lao utadhani ni level nyingine.

Nilichojifunza ni uzalendo wa nchi yao. Watanzania tuamke hakuna atakatekuja kuisafisha na kuipamba nchi yetu kama siyo sisi wenyewe.

Hakuna nchi hapa duniani isiyokuwa na madhaifu lakini hayasemwi hadharani.

Upinzani na nyinyi mtusaidie kuwaeleza watu wenu kuongea kitu cha kweli,mlipinga sana vitu vya kweli hadharani huku vyumbani mwenu mnaishia kusema ni kweli lakini serikali imefanya.

Hii ni nchi yetu sote, leo upo upinzani lakini kesho upo chama tawala, sasa yale uliyokuwa ukiyapinga utaanzaje tena kuyahubiri?

Utawala uliopo unaweza kuisha, vyama vikaisha na vikaja vipya, wapinzani wakaisha na kuja wengine. Lakini Tanzania itaendelea kuishi vizazi hadi vizazi.

Taifa ili liishi daima ni kujenga uzalendo wa kweli kwa vizazi vichanga ili vikue kati hali ya kuthamini utu na vitu vya nchi yao..."mfundishe mtoto njia impasayo kwa maana akikua hataiacha.."( nukuu kutoka kwenye Biblia).
 
Kulala Kahama

Nilisikia ni mkakati

Wa kibiashara



Kuboost uchumi wa huo mji

Ingawa Lusahunga palifaa zaidi

Bukoba ingebaki Km 230 tu
Ila watu wanateseka mazingira ya pale stend siyo mazuri sana, kama ni kulala pale mabasi mengi tu ya dar na sehemu nyingine ndio mwisho wao?

Kwenda Bukoba ni machache sana haiwezi kuathiri zaidi kama yataruhusiwa kupita.
 
Ww kamama sikia,hapa nazungumzia baada ya CAT kutamka maneno hayo na vitisho vingi . Kama unavyojua mr born town kalelewa jeshini na si hivyo tu pia alikua kua ni luten kanali wajeshi na kipindi kile alikua anapendwa na bakabaka hatari mpaka sasa mana aliwaboreshia maslahi mengi sana , ndipo iliandaliwa operation maalum mmoja wa makomando kutoka 92 Kj alikwenda mpaka viungani mwa CAT tena ndani Kbsa unajua nn kiliendelea baada ya hapo [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi ngonjera kawape wengine, uongo mtupuuu.
 
Japo born town ana mishe mishe nyingi

Ila dijawahi natamani afe kizembe.

Ana unafuu na uungwana kuliko yule jamaa mzilanKENDE.

born town ana utu kidogo.

Angekuwepo madaraka wewe leo ungekuwa uhakika wa kazi unachosomea chuo.

Mambo yote yalitibuliwa na gule mzilanKENDE.

nilipata kazi yangu ya kwanza kipindi born town yuko hatamuni.
Mm nilipata ajira wakati wa mkapa, nikaaacha ili niende kusoma . Nikaja nikapata tena wakati wa JK 2011, nikaendelea nayo nikaacha 2016. 2017 wakati wa Magufuli nikapata tena na ndio nipo nayo hadi sasa japo naweza pia kuja kuiacha.
Kwa tafsiri yako maraisi hao wote watatu ni wazuri kwa kuwa Mimi nilipata ajira miaka yao wakiwa madarakani?
Magufuli alikua na madhaifu mengi sana ya kiuongozi Ila kusema pia JK naye sikuona huo uungwana, nilichoona yeye alikua mfanyabiashara hivyo alikua akienda sawa na partners wenzake kwa kuwa alikua na cha kupoteza.
Mchunga ng'ombe yeye hakuna na cha kupoteza ndio maana alikuwa vile wa kuharibu haribu tu
 
Tatizo la borntown hajali watanzania anajali maslah yake mfano utaona hali ya kuwaweka vijana wake kwenye kampuni ili maslahi yake kuendelea kulindwa.na pia mkuu wa kampuni wa sasa hivi kupokea maelekezo kutoka kwake kama tunataka kwenda mbele kama nchi Born town aondolewe hata duniani ila pia huyu pk asiruhusiwe kucheza na kampuni yetu.tukiendelea hivihivi kampuni kuwa ya watu wachache aisee kampuni haitaendelea watu wake wataendelea kuwa masikini Kwa sababu keki itaendelea kuliwa na watu wachache.tutaendelea kuwa kampuni masikini.lakini zuieni huyu pk asichezee kampuni yetu.pia kampuni ifike mahali iendeshwe Kwa model ya kiuchumi Kwa sababu Sasa kampuni inaendeshwa kisiasa zaidi.
Sasa je,n bora born town aende au pk?me nawaza aende pk kwanza alaf huyu born town ataenda hata kwa kulogwa[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom