Dark days 17/03/20...

Mbona hizo jezi zinafahamika mkuu?

Ukipita kwenye mageti fulani kule makumbusho utawakuta watu wamevaa hizo jezi.
 
Binafsi nilifurahi sana baada ya kusikia magu kafa. Mwaka huu ilipofika tarehe ya kifo chake nilisherekea pia na mwakani nitasherehekea.

Alikuwa muovu sana na tunazidi kumuombea mungu aongeze moto ili aungue vizuri.
Kuna news huko clubhouse ya mwana kajimwaga jinsi nchi inavyoibiwa, kama unemsikia na bado una laumu uzalendo wa Dkt Magufuli basi una laana
 
Does it has anything to do with Mr. General
 
Hellow guys and Sorry pia!! Kuna kiubz flan kilipita but mambo yako vizuri sasa!! Dont miss the last two epsode next week!! Aisee hamtojutia!! .....tchaooo!
Next episode katika tamthiliya yako wadau wengi tuna hamu kubwa ya kusikia utayari wa Mr. Born Town katika kukabiliana na makundi hasimu dhidi yake. Maana huyu ndiye muhusika mkuu katika uendeshaji wa masuala muhimu ya kampuni.

Endapi kuna baya lolote litakuja kumkumba na kudhoofisha nguvu zake, basi hapo itakuwa ni mwanzo wa vita vipya vya kimaslahi vya wenyewe kwa wenyewe kwa hao mahasimu wake ndani ya kampuni. Hapo Yoga sijui utatuchezesha kwa "buttons" zipi!?

Ngoja tuzidi kusikilizia, yetu macho na masikio.
 
Unazungumzia February ? Mwenye title ya mzee ni baba yake February?
 
Mr born town ni nini alichomfanyia KP huko kanda ya ziwa ?
 
Hivi tuna uhakika Yoga aliyeanza na hii stori ndio huyu huyu anayeendelea? Mbona kama kuna touch tofauti? Ila stori inafikirisha sana
Hata kama watamdukua, huyu binti kawaharibia sana wanasiasa wapigaji, binafsi sioni shida kwa Msoga gangs, ama sukuma gangs + wainua vidole viwili juu wakidukua kwa huu uzi, wameshavulishwa nguo hao Shenzi zao
 
Uko sawa kabisa Baba Kibonge.
 
Ninavyojua mtaji wa maskini A.K.A Mr Ben ten alipigwa tafu na faza of the kampuni kuwa CEO. Kipindi hicho born town alikuwa moto balaa ila faza akamatuliza akamwambia we bado dogo muache braza Wako Mr Ben 10 then you will be the next. Sasa iweje Ben 10 amuRIP faza of the kampuni wakati ndio alimbeba? Iweje born town amuRIP Ben 10? Ninavyojua mimi the late CEO ndio alimuRIP Ben 10 na sio born town.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…