Sie ni wadau ktk mambo mengi, yapo alojifunza kwetu pia.Sio kwamba Putin alikuja kutufundisha? Inavyosemekana lkn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie ni wadau ktk mambo mengi, yapo alojifunza kwetu pia.Sio kwamba Putin alikuja kutufundisha? Inavyosemekana lkn
Inamaana huyu born town ni mtu mmnoma sana. Je paka analitambua hilo? Mbona kama anamjambishaga sana.Paka n mafia sawa,,lkn kwa born town paka n mchumba tuu
Tena inalilia kisasi.Sasa hivi nchi imefunikwa na roho ya mauti, mnajua ni kwanini? mlimuua mtu asiye na hatia
ambae aliua na kuwatesa watu wasio na hatia!!!!Sasa hivi nchi imefunikwa na roho ya mauti, mnajua ni kwanini? mlimuua mtu asiye na hatia
Code hiyo ya FDR, unamaanisha february au mr Planning? Kama ni hao nadhani siyo, Ukiangalia vizuri born town lengo lake ni embe dodo, maana kumbuka embe dodo alishawahi sema dakika ya mwisho atakapo tia wino mwekundu maana yake mpango ulishasukwa late ceo akiondoka current ceo awe bosi na pia wamcheki na kumuondoaMkuu
Duru za humu jamvini zinaonyesha kuwa
New CEO ataachia 2023 na kumuachia FDR!
Pia jadi ya wazee wa kanda ya ziwa huko zinasema new CEO anashika KWA muda yupo atakae chukua tena mtiti utaanza mvua ikianza kunyesha hapo oktoba Hadi desemba MWAKA huu!!
Ni kana kwamba kuna nabii za jadi na za kijasusi/kisomi pia kidini zinatabiri jambo linalofanana Hadi kuna majina yametajwa humu jamvini KWA uhakika kabisa Kuwa ndio watakao shika !Hadi unashindwa kuelewa kulikoni!!?
Kuna Mengi Sana yanaendelea AMBAYO hatuyajui kabisa !!
TUSUBIRI
FDR :- franklin delano roosevelt na utawala wa Miaka 12 ndani ya TANZANIA,uzi wa Tumia akili !ilitokea marekani itatokea na huku! Mango umri wake mkubwa Sana hawezi tawala KWA miaka 12 hapa Tz!!Code hiyo ya FDR, unamaanisha february au mr Planning? Kama ni hao nadhani siyo, Ukiangalia vizuri born town lengo lake ni embe dodo, maana kumbuka embe dodo alishawahi sema dakika ya mwisho atakapo tia wino mwekundu maana yake mpango ulishasukwa late ceo akiondoka current ceo awe bosi na pia wamcheki na kumuondoa
Hii ya born town kuviziwa na jiwe aondolewe nilisikia sana. But kwann jiwe hakumuhitaji born town? Vipi kuhusu Mr Ben ten? Naye nasikia jiwe alimuRIP,Mkuu watu wanamnyooshea kidole kwa kufuata mkumbo...
Hii simulizi yetu ya Yoga ina twist nyingi sana...
EMBU TUJIULIZE KAMA NI KWELI HII SIMULIZI JE....
BORN TOWN kama aliamua kujiokoa asichomoke akamuwahi mwenzake Late CEO?
...JE kama kuna vitu havisemwi...?
UNA HABARI BORN TOWN alikuwa anaviziwa na Late CEO amchomoe...
Je... Unafamamu.. Born Town akaambiwa ukikaa vibaya unachomoka... JIWE linakuvizia.... Born Town akaingia kazini kujiokoa...?
..HIVI MKUU MLIKUWA MNAMJUA JIWE VIZURI? AU TUNAMJUA KWA KUANGALIA TV.?
Jiwe lilikuwa linapiga sigara kidogo siku moja moja... Likitoka huko.. Watu wote wanajua leo tumeisha....
Hivi unajua Secretary wa Jiwe aliyeondoka kabla ya mwenyewe kuondoka.. alikuwa anamtuliza sana JIWE asimuondoe KATELEPHONE madarakani... kila mwezi Jiwe likivuta sigara linasema.. natamani aondoke.. wakati ndiye mtendaji bora..
Anyway... Natania.. ..JIWE alikuwa poa..
Tuishie hapa
Ben10 inasemekana.. Au inadaiwa... Alikosea kusema wazi kuwa CEO wa Kampuni ni vipindi viwili tuu na sio zaidi...Hii ya born town kuviziwa na jiwe aondolewe nilisikia sana. But kwann jiwe hakumuhitaji born town? Vipi kuhusu Mr Ben ten? Naye nasikia jiwe alimuRIP,
Zingatia code mkuu. MAMBOMkuu wa majeshi akiwa mboma.
Mzee wake ndio nani?Atakuwa yuko na mzee wake ziarani
yoga
Damu ya kila mtu ina thamani sawa. The rest ni blah blah.Huyo kijana sio mtawala wa nchi, ugomvi na Mungu ni kumuua mtawala wa nchi kwasababu hakuna mtawla aliyejiweka, awe mbaya au mzuri
Yap malaka zote huwekwa na Mungu.Huyo kijana sio mtawala wa nchi, ugomvi na Mungu ni kumuua mtawala wa nchi kwasababu hakuna mtawla aliyejiweka, awe mbaya au mzuri
na wewe acha mambo yako ya Udini katika mambo ya madikteta, tumemuona Saddam, Idd Amin na watu wasiomfuta Yesu wanatawala na kuondoka.Huyo kijana sio mtawala wa nchi, ugomvi na Mungu ni kumuua mtawala wa nchi kwasababu hakuna mtawla aliyejiweka, awe mbaya au mzuri
Kwahio mtu akikosea tu kama hivyo adhabu yake ndio kuu namna hiyo 😳😳😳 huko siasani watu wanajiona miungu watuBen10 inasemekana.. Au inadaiwa... Alikosea kusema wazi kuwa CEO wa Kampuni ni vipindi viwili tuu na sio zaidi...
Sasa yaliyomtokea ni fununu kuwa Jiwe kuu halikulala kwa hasira ya matamko hayo...
Ngoja tuendelee kusubiri simulizi zetu kwenye hii hadithi ya Yoga
tunaangalia kumtanguliza mtu, tena basi motoni anateketea mpaka Mr Born na wewe mtakapofuata, mwendazake na familia qwishneyUkiua Kwa upanga nawe utakufa Kwa upanga
Hapa tu ndo alipofeli Power sio kila kitu ila u smart tu …Kama the late CEO angepata watu smart watano naye awe smart, uwezo wake wa kufanya maamuzi magumu yangemshindia vita kadhaa. Alihitaji kutengeneza mfumo thabiti kabla ya kuingia uwanjani.
Naam. Watekelezaji wa mission mbali mbali za Mr. born town, ndio kwa the late CEO walikua washauri wakuu. Alipaswa kukaa ndani ya kampuni na kufanya analysis ya kutosha, ajue nguvu na madhaifu ya anaopambana nao. Yeye akapiga uvamizi bila kujua amvamiaye ana nguvu kubwa kumzidi yeye.Hapa tu ndo alipofeli Power sio kila kitu ila u smart tu …
Jiwe inner cycle yake anazungukwa na Paulo ,Slowslow na Yule kijana wa Hai unategemea nini hapo kama si mihemko watu wa kufanya dirty jobs hawaitaji kuwa karibu yako maana wale ni wa kuwatumia na kudump