please yoga usisahau na ile behind the scene ya msanii wa ngata anayesali katolikiHellow guys and Sorry pia!! Kuna kiubz flan kilipita but mambo yako vizuri sasa!! Dont miss the last two epsode next week!! Aisee hamtojutia!! .....tchaooo!
Na waliomuua dawa Yao inachemka.Damu ya mtu lazima idai Tu.Mtu wa Mr culture alikuwa wanashirikia na team born town yaani ni wasaliti Kwa hiyo hiyo damu watailipia.Damu ya kijana wa Mr Culture imemmaliza huyo dikteta.
Mayala Kesha mpongeza yoga ..kwa kutunga..Kuna mtu mmoja tu akipotea hii nchi itaanza kuhema vzur
Ni kweli ..maana hata ile poteza viroba ..aliikuta na alifanya muendelezo tu.. .. .. tatizo wenzie walitekeleza majukumu kimya kimya.. .Ile project aliikuta Ipo planned kabla hata hajaingia Madarakani, tunaoishi dar tulikuwa tukiyaona mabango ya kuanza Kwa ule mradi tangu jk alipokuwa ana tawala ,
Ukiangalia Uzi mmoja wa kumstaafisha mstaafu ambaye hataki kustaafu alafu na huu yaani nyuzi za tumia Akili na huu utajua kuna tatizo Fulani hapa Tanzania.kuna vita Fulani.Mayala Kesha mpongeza yoga ..kwa kutunga..
Yaani fiction kuwa like realy story..
Ulimuelewa mkuu.. au Ni Mimi sikuelewa?!
Hakika mkuu..Ukiangalia Uzi mmoja wa kumstaafisha mstaafu ambaye hataki kustaafu alafu na huu yaani nyuzi za tumia Akili na huu utajua kuna tatizo Fulani hapa Tanzania.kuna vita Fulani.
NdiyoHakika mkuu..
Wanakula keki ya nchi lakini amani hawana..
Ninavyojua mtaji wa maskini A.K.A Mr Ben ten alipigwa tafu na faza of the kampuni kuwa CEO. Kipindi hicho born town alikuwa moto balaa ila faza akamatuliza akamwambia we bado dogo muache braza Wako Mr Ben 10 then you will be the next. Sasa iweje Ben 10 amuRIP faza of the kampuni wakati ndio alimbeba? Iweje born town amuRIP Ben 10? Ninavyojua mimi the late CEO ndio alimuRIP Ben 10 na sio born town.
Dikteta alikuwa muuaji. Damu yake ililipia damu alizomwaga.Na waliomuua dawa Yao inachemka.Damu ya mtu lazima idai Tu.Mtu wa Mr culture alikuwa wanashirikia na team born town yaani ni wasaliti Kwa hiyo hiyo damu watailipia.
Ktk siasa hicho ni kitu Cha kawaida sana , soma history ya Dunia vizuri utaelewa maisha ya siasa yalivyo Kuna viongozi wamewahi kukaa madarakani Kwa kuwaua mpaka baba zao ..Ninavyojua mtaji wa maskini A.K.A Mr Ben ten alipigwa tafu na faza of the kampuni kuwa CEO. Kipindi hicho born town alikuwa moto balaa ila faza akamatuliza akamwambia we bado dogo muache braza Wako Mr Ben 10 then you will be the next. Sasa iweje Ben 10 amuRIP faza of the kampuni wakati ndio alimbeba? Iweje born town amuRIP Ben 10? Ninavyojua mimi the late CEO ndio alimuRIP Ben 10 na sio born town.
Alisemaje !?Mi bado namtafakari yule ngowi wa clubhouse sijui anajiita old moshi alivyofungunguka hoo majuzi, yule sijui ametumwa na nani na kwa madhumuni gani.
Tafuta uzi wake. Kifupi alielezea namna akina mr tembo walivyo wezi na maharamia tena wamewekeza apartment nje ya Tanzania unakuta mtu ana miliki mpaka nyumba 200. Kiufupi Magufuli ajaye ana clean up kazi kubwa mno.Alisemaje !?
Ninavyojua mtaji wa maskini A.K.A Mr Ben ten alipigwa tafu na faza of the kampuni kuwa CEO. Kipindi hicho born town alikuwa moto balaa ila faza akamatuliza akamwambia we bado dogo muache braza Wako Mr Ben 10 then you will be the next. Sasa iweje Ben 10 amuRIP faza of the kampuni wakati ndio alimbeba? Iweje born town amuRIP Ben 10? Ninavyojua mimi the late CEO ndio alimuRIP Ben 10 na sio born town.
MkuuKumekuchaaa
Weka link ya huo uzi hapaTafuta uzi wake. Kifupi alielezea namna akina mr tembo walivyo wezi na maharamia tena wamewekeza apartment nje ya Tanzania unakuta mtu ana miliki mpaka nyumba 200. Kiufupi Magufuli ajaye ana clean up kazi kubwa mno.
Ni dhahiri Current CEO anapaswa awe mjanja. Walianzia mbali mno kumfanya mjinga. Waliandaa mpango wa yeye kukiri eti 2025 ni wanawake, na wakaendelea kumshawishi ni yeye tu 2025, wakaandaa tukio sumbawanga kalemani akatawazwa kuwa chief huku watu wale wa jadi wakijisemea wewe ndiye rais ajaye watu wa born town wakamrekodi e bana current ceo kapelekewa kideo eti kuna mtu anautaka ucurrent ceo wako, kalemani alifukuzwa kama mbwa, hivyo kambi ya born town ikawa imefanikiwa hatua moja ya kumfanya ajione yeye ndiye wana mpigania kwenye kiti 2025. Waliona haitoshi ili kumuaminisha zaidi timu ya born town ikamchonganisha na kwa wala mbwa na jalala, e bana mama akaibuka tena. Sasa inavyoonekana wamejipanga kabisa current ceo anaweza asifike 2025 maana wao walitaka akatae awarudishie kiti wenye kukipigania tangu 2015 ila yeye mbishi na anakomaa na ndiyo maana maembe kaja na mkakati wa kumpamba current ceo kwanza ili ajisahau na kabla ya 2025 current ceo aondoke ili dodo embe achukue ingawa February naye yupo, sijui hii vita itakuwajeMkuu
Tena born town
Ameanza RASMI kisukuma kete zake
Juzi kaanza na u chief kwenye kampuni
Huku mr mango akimsifu new CEO kwa kumpamba kuwa ameshapita Hapo 2025 Ili kumzubaisha WAKATI wakicheza yao kwa Siri!!vita hii itasababisha apenye tusio mtarajia na kupewa u CEO na kuwa FDR!!
TUSUBIRI
MkuuNi dhahiri Current CEO anapaswa awe mjanja. Walianzia mbali mno kumfanya mjinga. Waliandaa mpango wa yeye kukiri eti 2025 ni wanawake, na wakaendelea kumshawishi ni yeye tu 2025, wakaandaa tukio sumbawanga kalemani akatawazwa kuwa chief huku watu wale wa jadi wakijisemea wewe ndiye rais ajaye watu wa born town wakamrekodi e bana current ceo kapelekewa kideo eti kuna mtu anautaka ucurrent ceo wako, kalemani alifukuzwa kama mbwa, hivyo kambi ya born town ikawa imefanikiwa hatua moja ya kumfanya ajione yeye ndiye wana mpigania kwenye kiti 2025. Waliona haitoshi ili kumuaminisha zaidi timu ya born town ikamchonganisha na kwa wala mbwa na jalala, e bana mama akaibuka tena. Sasa inavyoonekana wamejipanga kabisa current ceo anaweza asifike 2025 maana wao walitaka akatae awarudishie kitu ila yeye mbishi na anakomaa na ndiyo maana embe kaja kwanza ili 2025 achukue ingawa February naye yupo, sijui hii vita itakuwaje
Sio kwamba Putin alikuja kutufundisha? Inavyosemekana lknWengi sana hawaijui Nchi Yao, IPO haja mitaala yetu yarudishwe masomo ya kuimarisha uzalendo.
Hawaijui Nchi hii vizuri, Juzi tu ndo wengine wamekuja jua hata Putin aliishi hapa kwetu kujiimarisha kimafunzo na kushare ideas.