Ni dhahiri Current CEO anapaswa awe mjanja. Walianzia mbali mno kumfanya mjinga. Waliandaa mpango wa yeye kukiri eti 2025 ni wanawake, na wakaendelea kumshawishi ni yeye tu 2025, wakaandaa tukio sumbawanga kalemani akatawazwa kuwa chief huku watu wale wa jadi wakijisemea wewe ndiye rais ajaye watu wa born town wakamrekodi e bana current ceo kapelekewa kideo eti kuna mtu anautaka ucurrent ceo wako, kalemani alifukuzwa kama mbwa, hivyo kambi ya born town ikawa imefanikiwa hatua moja ya kumfanya ajione yeye ndiye wana mpigania kwenye kiti 2025. Waliona haitoshi ili kumuaminisha zaidi timu ya born town ikamchonganisha na kwa wala mbwa na jalala, e bana mama akaibuka tena. Sasa inavyoonekana wamejipanga kabisa current ceo anaweza asifike 2025 maana wao walitaka akatae awarudishie kitu ila yeye mbishi na anakomaa na ndiyo maana embe kaja kwanza ili 2025 achukue ingawa February naye yupo, sijui hii vita itakuwaje