Kumbuka pia kuna vijana wengi wameuawa na mr born town waliokuwa wanamstukia, wengi mno kaua. Na ndiyo maana vita ilikuwa kubwa sana kwa wazalendo. Sasa hivi nadhani walishajua sasa mbaya wao. Uzuri siku zote vijana wa kazi wala huwa hawana papala, inaweza chukua hata 5 or 10 years ila siku wakiliamsha dude ni nomaNaam. Watekelezaji wa mission mbali mbali za Mr. born town, ndio kwa the late CEO walikua washauri wakuu. Alipaswa kukaa ndani ya kampuni na kufanya analysis ya kutosha, ajue nguvu na madhaifu ya anaopambana nao. Yeye akapiga uvamizi bila kujua amvamiaye ana nguvu kubwa kumzidi yeye.
Kabisa, born town yupo smart kudeal nae inabidi uwe smart. Kuna fukuto ndani ya kampuni uzuri ni kwamba ndani ya kampuni hakuna rafiki wala adui wa kudumu, muda wowote tu ukiwakera rafiki wanakugeuka, kikulacho...Kumbuka pia kuna vijana wengi wameuawa na mr born town waliokuwa wanamstukia, wengi mno kaua. Na ndiyo maana vita ilikuwa kubwa sana kwa wazalendo. Sasa hivi nadhani walishajua sasa mbaya wao. Uzuri siku zote vijana wa kazi wala huwa hawana papala, inaweza chukua hata 5 or 10 years ila siku wakiliamsha dude ni noma
Mbona unalia lia sana ww falana wewe acha mambo yako ya Udini katika mambo ya madikteta, tumemuona Saddam, Idd Amin na watu wasiomfuta Yesu wanatawala na kuondoka.
Huyo mwendazake alichaguliwa lini na Mungu wetu wakati alikua muuaji, mwizi na mchukua wake za watu, saa hizi anateketea unataka kumlinganisha na hata Nyerere JK (RIP)
Hata pamoja na hayo ameifia "imani"..neno linasema.Kama the late CEO angepata watu smart watano naye awe smart, uwezo wake wa kufanya maamuzi magumu yangemshindia vita kadhaa. Alihitaji kutengeneza mfumo thabiti kabla ya kuingia uwanjani.
alinusa hatari ndio maana akakimbilia kwa PK ila akawahiwa kabla hajasuka system yakeKama the late CEO angepata watu smart watano naye awe smart, uwezo wake wa kufanya maamuzi magumu yangemshindia vita kadhaa. Alihitaji kutengeneza mfumo thabiti kabla ya kuingia uwanjani.
System ilisukwa na ipo mpaka sasa, subiria kidogo tu utasikia born town anapiga yowe na kunyamaza mazimaa.alinusa hatari ndio maana akakimbilia kwa PK ila akawahiwa kabla hajasuka system yake
alilibandua hakulilipa,hakuna utapeli unaumiza kama huo.Mbona unalia lia sana ww fala
huo wizi ukiambiwa thibitisha huwezi!!!
achana na story za vijiweni kumbaf
1FuYule mama mleta wachumba zetu kwa kutumia kimbunga upepo alitakiwa awe kwenye kampuni maana kampuni na nyumba za yesu ni mapacha, hawa watu wenye nyumba za masiha wana wafuasi wengi ukitaka kuongoza vizuri kampuni lazima mle wote sahani moja.
Naenda library kusoma simulizi zingine wenda nikajua kwani aliwahi kwenda kwa baba mbinguni kuimba mapambio.
Tuendelee kusoma riwaya mbali mbali majibu yako humu humu duniani.mbunguni kuna kazi moja tu kuimba na kusifu
Kama ndio hivyo si yupo JIGWA BOY.Yule mama mleta wachumba zetu kwa kutumia kimbunga upepo alitakiwa awe kwenye kampuni maana kampuni na nyumba za yesu ni mapacha, hawa watu wenye nyumba za masiha wana wafuasi wengi ukitaka kuongoza vizuri kampuni lazima mle wote sahani moja.
Naenda library kusoma simulizi zingine wenda nikajua kwani aliwahi kwenda kwa baba mbinguni kuimba mapambio.
Tuendelee kusoma riwaya mbali mbali majibu yako humu humu duniani.mbunguni kuna kazi moja tu kuimba na kusifu
Asante mkuu!Filimani
kumbe wewe mtu mkubwa katika kampuni mkuu!![emoji6]hahahahaha.hope utagusia jinsi kaka anayeondoka kwa kustaafu june.alivyofanya yake kuokoa jahazi la kampuni
Kila mmoja atajibu yanayomuhusu !!Tuishi humohumo!Kuna kitu umeongea mkuu chenye mantiki, kimenitafakarisha sana.
Kwa sisi wenye kuamini inahitajika toba haswa! Nani wa kufanya toba na kwa wakati na namna gani ndio swali lisilo na jibu.
Alisingiziwa!? Inaamana unaamini vyama vya upinzani vilishindwa vyote? Unaamini hakuwa na mpango wakuwa na kuwatoa wapinzani mjengoni? Ili iweje wabakie wao tu? Au hao waliomsingizia ndio walimshauri Mjengo uwe na Chama cha kijani tu? Ili iweje?Swala la kutawala milele walikuw wanamsingizia ilikuwa ni njama yule jamaa mwenye tabasamu zake.vijana wake wa habari ndo walisambaza hiyo ishu ili raia wamchukie late CEO
Na mm nlitaka niulize hivi hivi,ukiona born town anaanza kukuzngua kwa mafumbo ujue ndani kunafukuta,time is only medicine.Mkuu
Tena born town
Ameanza RASMI kisukuma kete zake
Juzi kaanza na u chief kwenye kampuni
Huku mr mango akimsifu new CEO kwa kumpamba kuwa ameshapita Hapo 2025 Ili kumzubaisha WAKATI wakicheza yao kwa Siri!!vita hii itasababisha apenye tusio mtarajia na kupewa u CEO na kuwa FDR!!
TUSUBIRI
Jigwa huyu huyu aliyezindua style mpya ya kugegeda?Kama ndio hivyo si yupo JIGWA BOY.
Code ya fdr imeniacha.Mkuu
Duru za humu jamvini zinaonyesha kuwa
New CEO ataachia 2023 na kumuachia FDR!
Pia jadi ya wazee wa kanda ya ziwa huko zinasema new CEO anashika KWA muda yupo atakae chukua tena mtiti utaanza mvua ikianza kunyesha hapo oktoba Hadi desemba MWAKA huu!!
Ni kana kwamba kuna nabii za jadi na za kijasusi/kisomi pia kidini zinatabiri jambo linalofanana Hadi kuna majina yametajwa humu jamvini KWA uhakika kabisa Kuwa ndio watakao shika !Hadi unashindwa kuelewa kulikoni!!?
Kuna Mengi Sana yanaendelea AMBAYO hatuyajui kabisa !!
TUSUBIRI
Analitambua sana,born town ana mabaya sana ila n mtu smart sana,napenda vile anapangilia mambo yakeInamaana huyu born town ni mtu mmnoma sana. Je paka analitambua hilo? Mbona kama anamjambishaga sana.
Nangoja muendelezo kwani hadi hapa NIKO GIZANI! Kwani "Msema kweli mpenzi wa Mungu"!Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...