Agachuuuu.. Ni captain huyu mzee. So alikuwa captain wa born town enzi hizo!?So kuna wazee wawili?
Wa UK retired ila anayeongelewa na yoga anapiga kazi na ofisi yake ipo hapo makao makuu ya kampuni, wafungua code waliotangulia walimtambua kuwa ni Kachikum G, sasa code ya huyo wa UK ni ipi?
Hii naisikia Kwa Mara ya pili. How mpaka leo tunataabishwa kwasababu ya ile vita?Lakini huyo fashisti wa Uganda alituporomoshea Uchumi wetu, hadi leo tupo hoi japo nduli hayupo.
Vita vina wenyewe jomba,paka kapigana sana vita na Uchumi wake upo vizuri akileta za kuleta tutampiga ila Uchumi wetu utaporomoka kuliko hata ulivyoporomoshwa na Nduli
Uchaguzi wa 2010. Waliitwa waganga na wanajimu wengi nguli kufanya hiyo kazi. Uliyemtaja alishiriki pia. Kuna jirani yetu alikuwa masaidizi wa jamaa mmoja hivi ktk hizo shughuli so naye alihudhuria ktk dua ya BT. Alichotuambia kuwa kama BT akidhurika na dark powers basi itakuwa si mchezo maana vilipigwa visomo kuskaz, mashariki na magharibi. Dua ya mwisho kuna jamaa alitoka Mbagala alishusha kiumbe BT akaambiwa aende popote. Na dua ziliishia hapo.Mkuu
Yule mtabiri marehemu
Sheh yahya ndiyo aliemkabidhi wazee wa kulinda huyo BT!
Nasikia KILA kombora linagonga mwamba na kumrudia alielituma!!
Ngoja Tuone likigonga mwamba lotawarudia wangapi na Kuwa RIP!!
Mkuu!
Kuna tetesi humu JAMVINI Kuwa Baada ya huyu malkia anayekuja atakuwa na mamlaka mapya ya kiroho na ataikomboa ardhi kutoka ufalme wa Giza huo uliopo chini ya giza kijana mwenye kutabsamu!!
Kwamba utakua Mwisho wa Giza Kuwa mlinzi wa ardhi yetu bali Mwenyezi mwenyewe!!
Na HUYO Mjoli wa Bwana kishaanza kupiga jeramba KWA mikutano mizito ardhini kwenye Kanda ya ziwa nyanza!!?
Je mamlaka ya Giza yatakubali hilo Jambo!!?
Hayatamdhuru mjoli!!?
WEWE waonaje!!?
Hujui kuwa hata wanaume walipotelea huko kwa nduli?Hii naisikia Kwa Mara ya pili. How mpaka leo tunataabishwa kwasababu ya ile vita?
Sheesh!!![emoji2]playing chess, need competent head.
there is dark outside the dark, getting into the dark, the password is you...
hahahhahaha the young Cardinal resign? and the young Papa elected in rome?... this is not the history of Catho.. the Catho is for Catho..... crossing the line, you will be the password..
Find him , I'll fix him.Born town ndio nani na kosa lake ni nini mpaka apotee...
the dark is dark, you cant see when you are out...
kheri for kheri, shari for shari...
your line is your boundary, somebody crossed and crossed, again and again ooooh this is kheri sio.....no there is triger to pull, missed several times there is a day will get you....you have to solve the Intergral before the story.
I really hate unnecessary code breaking.So kuna wazee wawili?
Wa UK retired ila anayeongelewa na yoga anapiga kazi na ofisi yake ipo hapo makao makuu ya kampuni, wafungua code waliotangulia walimtambua kuwa ni Kachikum G, sasa code ya huyo wa UK ni ipi?
Unknown still mgonjwa.Sema Kuna unknown hyo code ya unknown labda ndio huyo mwenye ofisi hapo kwa current co.
Yule mbona kachoka/kazeeka saana, atayaweza mapambano?Nawasaidia hii code ya Mzee aliyemmentor Mr. Born town ni Mzee kiutoka Visiwa vya UK na aliwahi kuwa Sabufa katika idara za Kampuni
juzikati mdogo wake alikaririwa anarudisha maneno yasiyona utii kwa boss wao,mpaka boss nayeye akajibu kwamba vijana wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali kama pili pili.Who is on top!? Naona giza tu ni system gani hiyo isiyogusika? Ni born town? Ninavyojua manyota ana team inamuamini na kumtii, akisema akinukishe hawatampinga yaani anweza kuasi Kwa kuingia msituni na vikosi kadhaa vinavyomuamini then anakinukisha! Au kampuni yetu ina mifumo ambayo haimpi mwanya mkuu Manyota kufanya hivyo? Au ni ustaarabu wake tu! Au, au au au au........
Nitarudi
Hivi hili la kuingia Chumbani kwake ni kweli au mnaongezea viungo kunogesha?Kwamba siyo asugue goti siyo? Hii watu wanatakiwa kuijua sana, yeye anayajua mapazia ya kitanda chake kumbe mwenzake anaingia hadi chumbani kakwe na kumwambia vipi sasa nikupeleke ufukweni ukanywe gahawa na nguru wa kuchoma huku tukicheza draft?? Nani zaidi hapa?
Hahahahahaaaaa unamsungumzia Shibura Forester [emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23]juzikati mdogo wake alikaririwa anarudisha maneno yasiyona utii kwa boss wao,mpaka boss nayeye akajibu kwamba vijana wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali kama pili pili.
unadhani ilikuwa bahati mbaya!!!au ni baada ya kuona fadhira alizolipwa mwenzie hata baada ya kazi nzito??ukumbuke hata hiyo kauli aliitoa mara baada ya boss wao kuonekanani mtu asiyekubali kazi za watu,hata iweje.
lakini ipo siku tutamwelewa proff mtoto wa ally kwanini alijaribu kufanya kile alichotaka kufanya,hawa hawa wanaoparuwana na boss wao wakamzuia kibabe sana,mixer kumweka kizuizini,maana walitimba mpaka hospital baada ya kuona hawalewi.
kwasasa wakipishana na proff wanainama chini.
vibwengo wana roho na wana miili pia,ni hasara kubwa kwa kampuni kama ilipata kutokea vibwengo wasielewe late CO alikuwa mtu wa namna gani.Kifo ni ibada kwa mwanadamu, hii ni kwa mujibu wa dini zote....Kifo ni mali ya Mwenyezi Mungu, yeye ndiye anayeamua nani afe nani abaki..
Tatizo linaanzia pale wanadamu wanapotaka kujimilikisha kifo na kuondoa wenzao, Mungu ametupa mamlaka ya kujilinda na wanadamu watoa roho ( tunasema kheri kwa kheri, shari kwa shari)... Ndio maana hata huku gizani watu humcha Mungu pia..
Mungu ametupa mamlaka ya kuzilinda dola zetu, mipaka yetu, watu wetu, utu wetu,jamii zetu nk dhidi ya wadhalimu wakazi wa dunia walioamua kuuishi dunia..... Hali hufanya watu kutumia mbinu mbalimbali kuishi na kusurvive..... Gizani you should exist strongly and in vibwengo world you shoud do the same hahahaha at the end " survival of the fittest...
msianzishe msiyoweza kuyamaliza au msiyoyajua......Conference 18, out of control, abandon the ship......Vibwengo aora..... Vale.
vibwengo wana roho na wana miili pia,ni hasara kubwa kwa kampuni kama ilipata kutokea vibwengo wasielewe late CO alikuwa mtu wa namna gani.
leo hii story inakuja kutufungua kujua kwamba hakuna system tunayoiamini bali kundi fulani la wahuni njaa kali as long umegusa maslahi yao utaondoka.
vibwengo ni vibwengo tu,zaidi ya kutishia watu hakuna kitu cha msingi wanawezakufanya.
A05 hakuwa mmoja wao thats why hajawahi kuwa mpuuzi katika mambo ya kijinga jinga kama yule mwingine,kama kuna jicho kubwa zaidi katika kila yanayondelea basi jicho hilo limefunikwa na filamu iliyorekodiwa matukio,likiamini linaona picha halisi.unavyoamini sivyo ilivyo......Vibwengo usalama wao haupo kwenye mamlaka yao, ipo mamlaka yenye nguvu zaidi ya mamlaka yao, Mamlaka hiyo ndio inajua uelekeo ni wapi na nini kifanyike kuwalinda vibwengo.....hii ni kila Taifa unaloliona chini ya jua linaishi hivi...
Usalama wa vibwengo uko mbali gizani, walinzi wa usalama wa vibwengo wako mbali gizani....
A05 - hakuaminiwa na si mmoja wao, balance and check to him results negative..
Kosa, kuamini he was the top, akisemacho ni sheria all over, kumbe yeye ni wa vibwengo...na ana mipaka, and he is monitored, kosa lingine tried ceazing the young boy bila makosa aisee, wale waliomshauri ndio waliokosea eti just to control and be ontop of everything.....thats where the button pressed......its history....
A05 hakuwa mmoja wao thats why hajawahi kuwa mpuuzi katika mambo ya kijinga jinga kama yule mwingine,kama kuna jicho kubwa zaidi katika kila yanayondelea basi jicho hilo limefunikwa na filamu iliyorekodiwa matukio,likiamini linaona picha halisi.
alikataa madawa wazi wazi jicho likamchukia serious!!!!
alikataa uonevu na matabaka jicho likamchukia serious!!!!
alikataa uzembe kazini jicho likamchukia serious!!!
alikataa wizi mali za uma jicho likamchukia serious!!!!
alikataa utumwa mamboleo jicho likamkataa!!!!!
finally ikaonekana hapana wacha aondoke kabisa!!hili jicho liko kwa maslahi ya nani,maana hata vibwengo wananashangaa sasa haaaaaa???maana wao wanajipambanua mlengo wao ni ustawi wa mama kampuni.
young boy ana rangi yake ya asili,ndio maana alikimbia uhamishoni maana alijua kilichomponza ni kikubwa sana hakistahili msamaha,usaliti kwa mgongo wa harakati.