Dark days 17/03/20...

MKUU
Siku hizi mashetani wamekuja na new substances KABISA!!

Kuna novichok na polonium za numerali tofauti tofauti!!

Nadhani tayari!!
Tujiandae RIP BT,Mzee, Unknown au nywele nyeupe,pk na mkuu wa mabaka mabaka anaeaga!!!

AISEH! TUSUBIRI!!
 
V
Nimejaribu kuhesabu neno "VIBWENGO". Limetajwa mara nyingi.

Vibwengo pia limepata tafsiri zaidi ya moja. Kama:
1.Mapepo ktk form ya kibinadamu.

2.VIPEPEO'',

3.WASIOJULIKANA.

4.Vyombo muhimu ndani ya vyombo vinavyoonekana.

.5. Wananchi Walio gizani.

6. Mapepo wenye kikao pamoja na WANADAMU .

7.Majini.

8.Mizimu ya mababu. 9. Mashetani.

10.Illuminati 11. Deep st,....nk.

Vibwengo wapo gizani, ktk vyumba za ibada wapo wa gizani wakireport kwa wananchi bt wakijificha gizani.

Bt anapoongelea Mungu, msomaji aweze kutofautisha kati ya "Mungu" na "mungu." Amen
 
Pia kuna tofauti kati ya bwana, Bwana na BWANA. Nimekuelewa mkuu.
 
Pia kuna tofauti kati ya bwana, Bwana na BWANA. Nimekuelewa mkuu.

Ktk KAMPUNI yeu, Mungu ana KAZI nayo.

Mifumo ya kibinadamu haitabadili au kuzuia kusudi la Mungu kutimia.

Kama unaitazama KAMPUNI yetu kirahsi, BADILI mtizamo huo.

Iangalie kampuni hii kama kimbilio la Dunia nzima kwa wote wamtafutao Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi.

Huyo ndo Yuko ABOVE all Kingdoms, Thrones, Intelligence, Principals, Plans etc.

Ma CEO wote 1,3,5 hapa hawapo shd kubwa ni kuchanganya ulinzi, Kulindwa na Mungu at the same time kuomba msaada wa Vibwengo.

Mungu hachanganywi, ni kama mafuta na maji.

Giza liliwaweza sababu ya mixing.
Amen
 
Exactly
 
MKUU
Siku hizi mashetani wamekuja na new substances KABISA!!

Kuna novichok na polonium za numerali tofauti tofauti!!

Nadhani tayari!!
Tujiandae RIP BT,Mzee, Unknown au nywele nyeupe,pk na mkuu wa mabaka mabaka anaeaga!!!

AISEH! TUSUBIRI!!
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] Mkuu Nmecheka sana eti wamekuja na new substances na vichoki choki ,,hao jamaa wana mbinu hatar
 
Vibwengo ni wapi na WASIO vibwengo ni wapi? Na waliopo gizani ni tofauti na vibwengo? fafanua kidogo,hadithi tamu hizi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna kitu watu bado hawajajua...

Huko gizani wapo kwa ajili ya maslai ya vibwengo / raia... Na uhakikisha usalama wa mipaka.. Usalama wa bussiness... Na future ya Kampuni..

Watu waliopo huko gizani hawana shida na Ceo.... Mara chache hutoa ushauri wa mambo flani.. Kisha hukaa kimya....
Kama mnakumbuka late CEO alishawahi kusema kama mara 3 hivi kwamba mi siingiliwa na pia aliwahi kusema wao walipokuwa madarakani hawakuingiliwa.... Akasema niacheni najua ninapoipeleka Kampuni..

Huko gizani hawakurupuki bali wako kirafiki sana... Bado walikuwa wanatuma ushauri wa mambo mbali mbali.... Ila late CEO hasikii.... Na kujaribu kucheza game anavyojua yeye na jinsi atakavyoamka..

Issue ya kule kusini kuhusu business ya koroshoww... ili leta kuyumba sana huko kwa vibwengo wa huko... Vibwengo waliishiwa.. It was a big loss kwa kampuni kulipia that mess..
late ceo alishauriwa sana usipeleke mabaka mabaka huko kuchukua mali za watu.. hakusikia.. ikatokea 600 B loss.. Na koroshoww hazikuuzwa..

Akajua kwa hii security hakuna wa kunigusa...... Bado na mess nyingine nyingi tuu zilitokea... Kuvamia beural...nk nk... Lakini akasema yeye ndiye yeye aongozae njia....

Watu wakaingia kazini... Na matokeo yakabandikwa ubaoni.. Kimya kikatamalaki
 
Kabisa. Nuru na giza havichangamani siku zote. Kumbe ndio sababu watu walikuwa wakitoa maonyo kwamba Mungu hadhihakiwi, ulipandalo ndilo utakalolivuna.

Huwezi kumtaja Mungu mdomoni wakati moyoni mwako hayumo. Nazidi kubarikiwa na ujumbe wako mkuu.
 
Aisee!
 
AISEH!!yaani kuna mungu wa Dunia na Mungu Mwenyezi na WOTE wanatawqla Giza na Nuru sio!!?,bas Sawa
mungu wa dunia hatawali nuru mkuu, yeye ni giza tu,akija nuruni lazima apate mwili auvae halafu afake kuwa malaika wa nuru lakini ni wa gizani.

Mungu mkuu, muumba vyote Yeye yuko juu kwa kila kitu ila anaishi nuruni, akienda gizani anaenda kukomboa mateka wake waliofichwa gizani na hakuna wa kumzuia kuingia huko.
 

gracias mucho, genius amigo..

siempre oscuro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…