myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Jirani upo huku pia..SafiiiiNilikua sijaisoma hio episode ya mwisho kwa season 1 shos angu!😘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani upo huku pia..SafiiiiNilikua sijaisoma hio episode ya mwisho kwa season 1 shos angu!😘
MKUUNakumbuka wakati new CEO anaapisha baraza lake la mawaziri mzee alikua India kwa matibabu ambayo hatujaambiwa mpaka leo alikua anasumbuliwa na nini.juzi kati my best friend alikua na graduation hapo udsm,nikafanikiwa kumuona Born town live wakati akiwatunuku wahitimu shahada zao hakika uso wake hauna nuru kabisa. It seems kama mgonjwa flani vile,so ukimix na hii story ya miss yoga unapata picha flani hivi
Nipooo jirani kule kijiwe cha story tu jirani!Jirani upo huku pia..Safiiii
Safiii jiraniNipooo jirani kule kijiwe cha story tu jirani!
🤣🤣Si tulisema Uzi huu UFUNGWE. Yoga yuko honeymoon Ukraine [emoji23]
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Nimejaribu kuhesabu neno "VIBWENGO". Limetajwa mara nyingi.Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Pia kuna tofauti kati ya bwana, Bwana na BWANA. Nimekuelewa mkuu.V
Nimejaribu kuhesabu neno "VIBWENGO". Limetajwa mara nyingi.
Vibwengo pia limepata tafsiri zaidi ya moja. Kama:
1.Mapepo ktk form ya kibinadamu.
2.VIPEPEO'',
3.WASIOJULIKANA.
4.Vyombo muhimu ndani ya vyombo vinavyoonekana.
.5. Wananchi Walio gizani.
6. Mapepo wenye kikao pamoja na WANADAMU .
7.Majini.
8.Mizimu ya mababu. 9. Mashetani.
10.Illuminati 11. Deep st,....nk.
Vibwengo wapo gizani, ktk vyumba za ibada wapo wa gizani wakireport kwa wananchi bt wakijificha gizani.
Bt anapoongelea Mungu, msomaji aweze kutofautisha kati ya "Mungu" na "mungu." Amen
Pia kuna tofauti kati ya bwana, Bwana na BWANA. Nimekuelewa mkuu.
Ktk KAMPUNI yeu, Mungu ana KAZI nayo.Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
ExactlyKtk KAMPUNI yeu, Mungu ana KAZI nayo.
Mifumo ya kibinadamu haitabadili au kuzuia kusudi la Mungu kutimia.
Kama unaitazama KAMPUNI yetu kirahsi, BADILI mtizamo huo.
Iangalie kampuni hii kama kimbilio la Dunia nzima kwa wote wamtafutao Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi.
Huyo ndo Yuko ABOVE all Kingdoms, Thrones, Intelligence, Principals, Plans etc.
Ma CEO wote 1,3,5 hapa hawapo shd kubwa ni kuchanganya ulinzi, Kulindwa na Mungu at the same time kuomba msaada wa Vibwengo.
Mungu hachanganywi, ni kama mafuta na maji.
Giza liliwaweza sababu ya mixing.
Amen
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] Mkuu Nmecheka sana eti wamekuja na new substances na vichoki choki ,,hao jamaa wana mbinu hatarMKUU
Siku hizi mashetani wamekuja na new substances KABISA!!
Kuna novichok na polonium za numerali tofauti tofauti!!
Nadhani tayari!!
Tujiandae RIP BT,Mzee, Unknown au nywele nyeupe,pk na mkuu wa mabaka mabaka anaeaga!!!
AISEH! TUSUBIRI!!
A genius question
Ila mkuu ninavyojua mpaka mtu anapitishwa ni kwamba wanamjua vizuri na kwamba atafaa kuongoza huku nje
Sasa huko gizani kazi yao ni kumonitor tu na kutoa muongozo in case mambo hayaendi watadeal na CEO tu anapokiuka maagizo and remember wapo kwa ajili ya hawa vibwengo pia
Kuna kitu watu bado hawajajua...A genius question
Ila mkuu ninavyojua mpaka mtu anapitishwa ni kwamba wanamjua vizuri na kwamba atafaa kuongoza huku nje
Sasa huko gizani kazi yao ni kumonitor tu na kutoa muongozo in case mambo hayaendi watadeal na CEO tu anapokiuka maagizo and remember wapo kwa ajili ya hawa vibwengo pia
Kabisa. Nuru na giza havichangamani siku zote. Kumbe ndio sababu watu walikuwa wakitoa maonyo kwamba Mungu hadhihakiwi, ulipandalo ndilo utakalolivuna.Ktk KAMPUNI yeu, Mungu ana KAZI nayo.
Mifumo ya kibinadamu haitabadili au kuzuia kusudi la Mungu kutimia.
Kama unaitazama KAMPUNI yetu kirahsi, BADILI mtizamo huo.
Iangalie kampuni hii kama kimbilio la Dunia nzima kwa wote wamtafutao Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi.
Huyo ndo Yuko ABOVE all Kingdoms, Thrones, Intelligence, Principals, Plans etc.
Ma CEO wote 1,3,5 hapa hawapo shd kubwa ni kuchanganya ulinzi, Kulindwa na Mungu at the same time kuomba msaada wa Vibwengo.
Mungu hachanganywi, ni kama mafuta na maji.
Giza liliwaweza sababu ya mixing.
Amen
Aisee!Kuna kitu watu bado hawajajua...
Huko gizani wapo kwa ajili ya maslai ya vibwengo / raia... Na uhakikisha usalama wa mipaka.. Usalama wa bussiness... Na future ya Kampuni..
Watu waliopo huko gizani hawana shida na Ceo.... Mara chache hutoa ushauri wa mambo flani.. Kisha hukaa kimya....
Kama mnakumbuka late CEO alishawahi kusema kama mara 3 hivi kwamba mi siingiliwa na pia aliwahi kusema wao walipokuwa madarakani hawakuingiliwa.... Akasema niacheni najua ninapoipeleka Kampuni..
Huko gizani hawakurupuki bali wako kirafiki sana... Bado walikuwa wanatuma ushauri wa mambo mbali mbali.... Ila late CEO hasikii.... Na kujaribu kucheza game anavyojua yeye na jinsi atakavyoamka..
Issue ya kule kusini kuhusu business ya koroshoww... ili leta kuyumba sana huko kwa vibwengo wa huko... Vibwengo waliishiwa.. It was a big loss kwa kampuni kulipia that mess..
late ceo alishauriwa sana usipeleke mabaka mabaka huko kuchukua mali za watu.. hakusikia.. ikatokea 600 B loss.. Na koroshoww hazikuuzwa..
Akajua kwa hii security hakuna wa kunigusa...... Bado na mess nyingine nyingi tuu zilitokea... Kuvamia beural...nk nk... Lakini akasema yeye ndiye yeye aongozae njia....
Watu wakaingia kazini... Na matokeo yakabandikwa ubaoni.. Kimya kikatamalaki
mungu wa dunia hatawali nuru mkuu, yeye ni giza tu,akija nuruni lazima apate mwili auvae halafu afake kuwa malaika wa nuru lakini ni wa gizani.AISEH!!yaani kuna mungu wa Dunia na Mungu Mwenyezi na WOTE wanatawqla Giza na Nuru sio!!?,bas Sawa
Kuna kitu watu bado hawajajua...
Huko gizani wapo kwa ajili ya maslai ya vibwengo / raia... Na uhakikisha usalama wa mipaka.. Usalama wa bussiness... Na future ya Kampuni..
Watu waliopo huko gizani hawana shida na Ceo.... Mara chache hutoa ushauri wa mambo flani.. Kisha hukaa kimya....
Kama mnakumbuka late CEO alishawahi kusema kama mara 3 hivi kwamba mi siingiliwa na pia aliwahi kusema wao walipokuwa madarakani hawakuingiliwa.... Akasema niacheni najua ninapoipeleka Kampuni..
Huko gizani hawakurupuki bali wako kirafiki sana... Bado walikuwa wanatuma ushauri wa mambo mbali mbali.... Ila late CEO hasikii.... Na kujaribu kucheza game anavyojua yeye na jinsi atakavyoamka..
Issue ya kule kusini kuhusu business ya koroshoww... ili leta kuyumba sana huko kwa vibwengo wa huko... Vibwengo waliishiwa.. It was a big loss kwa kampuni kulipia that mess..
late ceo alishauriwa sana usipeleke mabaka mabaka huko kuchukua mali za watu.. hakusikia.. ikatokea 600 B loss.. Na koroshoww hazikuuzwa..
Akajua kwa hii security hakuna wa kunigusa...... Bado na mess nyingine nyingi tuu zilitokea... Kuvamia beural...nk nk... Lakini akasema yeye ndiye yeye aongozae njia....
Watu wakaingia kazini... Na matokeo yakabandikwa ubaoni.. Kimya kikatamalaki