Dark days 17/03/20...

Yote haya yameandikwa labda hujasoma
 
Kama unajua mchakato wa mgombea mwenza huwezi kumlaumu late! It was by surprise lakini old alijua kuicheza ngoma
 
Yoga Kama yoga..Hapo Kwa Mr msema Sana au Mr wa kubwabwaja Yani muvi hii hapa Kwa jinsi Stori inavyoflow.Najikuta na Mimi nishashika mjegeja nawatwanga za kichwa ahahaha..Stori tamuu
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
The best 007
 
Kwenye kuendesha kampuni kuna kuna wakati unalazimika kumkubali mtu hata kama humpendi.awamu ya pili late ceo kuna uvumi kuwa alitaka amteme deep informer, akakosa nguvu, kumbuka baba yake katika kazi alishatangulia mbele za haki. In short hakuwa na jinsi ya kumtoa. Kumbuka hapo bado hajajua kuwa deep informer sio mzuri. Alikuwa hamkubali basi tu analazimika kumkubali. Alikuja kujua amechelewa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…