Dark days 17/03/20...

Hakuna kitu, porojo at best. Romee... Romee .... you know nothing! Wachomwe wawe mazombe .... Romee bado inatawala ..... conspiracy tu .... Rome the state iliyokufa and Rome makao makuu ya Askofu na mkuu wa Kanisa havina uhusiano .... religions propaganda tu
 
Mwenyewe Yoga amekaribisha swali kwenye uzi wake, sasa wewe sijui hata unatokea wapi na kuja na kimbelembele cha kukimbilia kumjibia! Suala si lugha bali ni utungaji wa uzi unahusu mtu mmoja ama zaidi.

Hayo mengine yote ni mawazo yako finyu, na kutaka kujifanya una ufahamu mkubwa wa mambo kumbe ni boya tu. Empty case!
 
Mkuu
Elewa
Yoga hawezi andaa hiyo ISHU pekee yake!!
Ni system iliyojipanga kabisaaa!!
Haiwezekani taarifa kama HII inatolewa KWA umma ili kutuandaa KWA Mabadiliko fulani eti itolewe na mtu MMOJA!!!
Ndio màana akakiri KWA wingi na sio umoja !!
 
Mkuu
Elewa
Yoga hawezi andaa hiyo ISHU pekee yake!!
Ni system iliyojipanga kabisaaa!!
Haiwezekani taarifa kama HII inatolewa KWA umma ili kutuandaa KWA Mabadiliko fulani eti itolewe na mtu MMOJA!!!
Ndio màana akakiri KWA wingi na sio umoja !!

Mkuu
Tumekubaliana ni hadithi iwe inaletwa na kikundi au mtu mmoja
Sisi tujiachie kusoma au sio [emoji16]
Usiku mwema sema wewe na Rabbon nawaelewa sana
 
Hatimae Nabii tunachat nae JF, yaan saafi kabisa.
 
Kinachotuponza watz wengi ni UJUAJI MWINGI,
Yawezekana maswali na mchanganuo ambao Yoga alikuwa akitarajia kutoka kwetu ni tofauti.
Ajabu ni kwamba riwaya za kina shigongo hazipati kabisa maswali na ujuaji mwingi kama riwaya hii,
Ujue sifa ya kwanza ya mwanaume ni KUKAA KWA KUTULIA, tungefata utaratibu huu, uzi ungenoga na tusingekuwa na HOJA ZA KUMAANISHA.

Ps; KAA KWA KUTULIA .....kimyakimya (Mangwea Sound)
 
Mkuu
Elewa
Yoga hawezi andaa hiyo ISHU pekee yake!!
Ni system iliyojipanga kabisaaa!!
Haiwezekani taarifa kama HII inatolewa KWA umma ili kutuandaa KWA Mabadiliko fulani eti itolewe na mtu MMOJA!!!
Ndio màana akakiri KWA wingi na sio umoja !!
Mkuu hichi haswa kilikuwa ndio msingi wa swali langu kwake, yaani utunzi wa simulizi hii kampuni na mambo yote ya hao ma CEO inatokana na mtu mmoja ama zaidi.
 
Heee ???
leo hii riwaya imeandikwa au kuandaliwa na wengi?
hawajitakii maisha nini Mkuu
Hii Riwaya ni ya yoga mwenyewe na kajikusuru kwa kupata habari kwa vyanzo vyake kwa watu wengi
Wanampa vipande Ndio anapost huwezi kuwa deep kwenye mambo YOTE Hayo Hata Kama ni genius!!!
Full ujasusi wa lugha ya picha ambayo ni riwaya tu!!
Hii ni riwaya tusome TU!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…