Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Hiyo deepppp staaaaattttt, iliyojichimbia ndani gizani ndo hyo bikari, pembetatuu, jua na mwezi kama trkey na Sunday JUA kama Romeee.

CEO yeyote akizingua lazima Aondoke, ni kampuni ndani ya KAMPUNI chini Sanaa.

Zamani Mungu ndo alikuwa MTAWALA mf ktk Israel, akisaidiwa na makuhani.

Wakapinga WANADAMU wakataka mfalme, wakapewa Sauli mfalme wa kwanza Israel.

Mungu hakuondoka moja Kwa moja kitini, aliendelea kufanya KAZI deeeep kupitia manabii. Na walipozingua aliwatoa Kwa KITI.

Kama kawa, Shetani akaiga. Romeee ilipotawala kampuni zote duniani, walipopambania uhuru kampuni zikajitawala, Romeee hakutoka direct, alihamia deeeeep deeeep sana. Underground.

Hakuonekana direct bt kamba zake za ndani gizani zikiendelea kutawala.

Mwandishi anaandika Dark Days za kampuni yetu, sababu kubwa kbs za late CEO kuleft ni kuenda tofauti na maelekezo ya deeeeep under romeeee,

Mabwana waliagiza kampuni zote ziwapige Chapa members wote wawe zombies, wengi walikubali bt waliokataa waliondoka Kwa nguvu ya mtutu,

Kumbuka kampuni kama 2 za north afr.... Waliingiza WAZEE Hadi chumbani wakawaondoa ma CEOs,

Na hapa kwetu ndicho kilichotokea, wako deep sana sana.

Unaweza usimuelewe SAMURAI asemacho bt anawaongelea hao, na huyo BT ni mmoja wao wa ndani gizani.

Anasema WAZEE wa Saigon mwanamkubali ni wao...ni Kweli, vita hiyo so ndogo.

Niliwahi kuongelea Mapepo ktk form ya kibinadamu bt hamkuelewa, ni deeep Dow...n gizani.


Deeeep deeeep sana, ht trum..p... Amewahi kuwalalamikia ni very powerful.. Pembetatuu, bikari, verrr deeep.

Hata jukwaaaa hili ni deeeeep down.... Sana sana. Mwanzilishi wake...verrry deeep.

Asomaye na afahamu!!!!!

Amen Amen, Amen.
Hakuna kitu, porojo at best. Romee... Romee .... you know nothing! Wachomwe wawe mazombe .... Romee bado inatawala ..... conspiracy tu .... Rome the state iliyokufa and Rome makao makuu ya Askofu na mkuu wa Kanisa havina uhusiano .... religions propaganda tu
 
Cha msingi muwe mnaelewa ujumbe!!
Hata hao Wenye lugha yao hawaongei correct, structured and grammared english!!!
Ni ishu ya uelewa tu!!?kwani wewe unaandika humu kiswahili sanifu au cha KAWAIDA!!?

NIMEUONA USHAMBA HUU MARA NYINGI SANA JUKWAANI AS IF KIINGEREZA NI LUGHA MAMA WAKATI HATA KISWAHILI KINATUPIGA CHENGA!!!!
Mwenyewe Yoga amekaribisha swali kwenye uzi wake, sasa wewe sijui hata unatokea wapi na kuja na kimbelembele cha kukimbilia kumjibia! Suala si lugha bali ni utungaji wa uzi unahusu mtu mmoja ama zaidi.

Hayo mengine yote ni mawazo yako finyu, na kutaka kujifanya una ufahamu mkubwa wa mambo kumbe ni boya tu. Empty case!
 
Mwenyewe Yoga amekaribisha swali kwenye uzi wake, sasa wewe sijui hata unatokea wapi na kuja na kimbelembele cha kukimbilia kumjibia! Suala si lugha bali ni utungaji wa uzi unahusu mtu mmoja ama zaidi.

Hayo mengine yote ni mawazo yako finyu, na kutaka kujifanya una ufahamu mkubwa wa mambo kumbe ni boya tu. Empty case!
Mkuu
Elewa
Yoga hawezi andaa hiyo ISHU pekee yake!!
Ni system iliyojipanga kabisaaa!!
Haiwezekani taarifa kama HII inatolewa KWA umma ili kutuandaa KWA Mabadiliko fulani eti itolewe na mtu MMOJA!!!
Ndio màana akakiri KWA wingi na sio umoja !!
 
Mkuu
Elewa
Yoga hawezi andaa hiyo ISHU pekee yake!!
Ni system iliyojipanga kabisaaa!!
Haiwezekani taarifa kama HII inatolewa KWA umma ili kutuandaa KWA Mabadiliko fulani eti itolewe na mtu MMOJA!!!
Ndio màana akakiri KWA wingi na sio umoja !!

Mkuu
Tumekubaliana ni hadithi iwe inaletwa na kikundi au mtu mmoja
Sisi tujiachie kusoma au sio [emoji16]
Usiku mwema sema wewe na Rabbon nawaelewa sana
 
Huo ni unabii.

Ok dig deep maana ya Tanganyika na mipaka yake kabla ya ujio wa WAKOLONI ilianza na kuishia wap.

Nenda pia Lango la jiji, kawaulize wazee maana ya ''Bandari salama''.

Nenda ktk historia, uliza pia ilikuwaje hapa kukawa center ya ukombozi wa HARAKATI za ukombozi Afrika nzima na kimbilio la wote WALIODHULUMIWA HAKI.

MISRI ndipo alipokimbilia Mary na mtoto Yesu Kutoka Israel mara ya kwanza kuepuka mtoto kuuwawa na Pirato.

MISRI ya rohoni IPO Africa. Mto NILE umeanza nyanza Hadi MISRI. Chanzo ni hapa.

Mto NILE umetabiriwa kukauka, unadhan Israel na MISRI time hii watakambilia wapi kufuata maji?

Kikombe Cha Loliondo kilileta watu karibia Kutoka pande nyingi za Dunia ingawa kilitoka Kuzimu.

Yajayo yatakuwa zaidi ya hapo, Dunia nzima watakuja kupata pumziko hapa.

Amen
Hatimae Nabii tunachat nae JF, yaan saafi kabisa.
 
Kinachotuponza watz wengi ni UJUAJI MWINGI,
Yawezekana maswali na mchanganuo ambao Yoga alikuwa akitarajia kutoka kwetu ni tofauti.
Ajabu ni kwamba riwaya za kina shigongo hazipati kabisa maswali na ujuaji mwingi kama riwaya hii,
Ujue sifa ya kwanza ya mwanaume ni KUKAA KWA KUTULIA, tungefata utaratibu huu, uzi ungenoga na tusingekuwa na HOJA ZA KUMAANISHA.

Ps; KAA KWA KUTULIA .....kimyakimya (Mangwea Sound)
 
Mkuu
Elewa
Yoga hawezi andaa hiyo ISHU pekee yake!!
Ni system iliyojipanga kabisaaa!!
Haiwezekani taarifa kama HII inatolewa KWA umma ili kutuandaa KWA Mabadiliko fulani eti itolewe na mtu MMOJA!!!
Ndio màana akakiri KWA wingi na sio umoja !!
Mkuu hichi haswa kilikuwa ndio msingi wa swali langu kwake, yaani utunzi wa simulizi hii kampuni na mambo yote ya hao ma CEO inatokana na mtu mmoja ama zaidi.
 
Heee ???
leo hii riwaya imeandikwa au kuandaliwa na wengi?
hawajitakii maisha nini Mkuu
Hii Riwaya ni ya yoga mwenyewe na kajikusuru kwa kupata habari kwa vyanzo vyake kwa watu wengi
Wanampa vipande Ndio anapost huwezi kuwa deep kwenye mambo YOTE Hayo Hata Kama ni genius!!!
Full ujasusi wa lugha ya picha ambayo ni riwaya tu!!
Hii ni riwaya tusome TU!!
 
Back
Top Bottom