Dark days 17/03/20...

Ila watu kwa code hamjambo eti "daftari"
I salute itabidi nirudu shule
Sasa hukuona alivyojiliza eti alivyokuwa kwa mlokoni wa tanganyika wezi wataiba daftari lake anaomba anunuliwe jingine, swali la kujiuliza inakuwaje mwanafunzi kapoteza daftari anaenda kumuomba headmaster akamnunulie jingine? Yeye hajui taratibu za kujinunulia.?

Ee mara baadae tukasikia daftari limenunuliwa mtoto anaweza soma shule zote za ndani na nje ya nchi.

Hii kampuni hii.!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] tuendelee au mmechoka jamani??
Tuendelee ila kabla ya kuendelea nambie , sote tunajua late CEO alikuwa smart sana ilikuwaje akamuamini branch manager kiasi hicho wataki tunajua branch manager ni kijana wa old CEO?

Pili the late CEO alikuwa na baba yake yaani alompigania kupata cheo ambae nae alikuwa ceo je ilikuwaje akaondoka kuelekea kwa muumba gafla?

Je ulikuwa ni mpango kuwa mtu hawezi muwajibisha mtoto baba yake bado akiwa hai?
 
Aisee!
 
Lucky, rudi mwanzoni mwa uzi huu kuna eneo hayo maelezo yapo.

Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
 
Me najiuliza tu,old CEO ana 72 years sasa hivi.nini anatafuta tena kwenye haya maisha hadi aanze kuongoza hayo magenge ya wahalifu?
Sasa na huyo new CEO atadumu kweli kwa style hiyo?
MKUU MI NILIPOMSIKIAGA ANAROPOKA PALE MAZIKONI NDO NKAJUA NI KIJINGAJINGA.UNAWEZAJE KUSEMA VILE MAHALI PALE NIKABAKI DOMO WAZI. HATA HIVYO ANATAJWA NA KULAUMIWA SANA, YASIJE TOKEA YALE YA NGOMA KULIA SANA . AU ya mwosha kuoshwa hata hivyo lazima mwisho uwepo tu.
 
KWA KUWAGEUZA WATU MAZAO YA MASHAMBANI KWENYE VIROBA HASAMEHEKI .SERIKALI INGEWAZIDI MAJAMBAZI KWA KUUA KIUKWELI LILIKUWA JINGA.
 
duh wewe kazi aliyoifanya huyo jamaa wa mzoga a.k.a borntown ni kubwa sana mm namshukuru kwani vifo vya kuogofya vilizidi mpaka kwenye chart ya Nchi zisizo na furaha tuliongoza
Mwache Mwendazake apumzike na ss tupumue angalau miaka 10 ya new CEO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…