Dark days 17/03/20...

Garicus kama Garicus,

Garica/mafuliko/tsunami.

Kwa hari hii hatuwezi tukalala,
Riwaya imekolea tupe vitu.
👍👍👍
🙏
 
Mimi nimefurahi na tarehe iliyotajwa maana na mimi na set target lini nichungulie muendelezo wa movie [emoji897] pendwa sio kila mara nachunguli [mention]yoga [/mention] kashusha thread au bado : tenguz na teuzi nazo zitakuwepo hyo 15august
 
Kwa faida ya Nchi Born Town lazima apumzike. Atake asitake. Hakuna kiongozi atafanikiwa kama huyu Bwana yuko hai.
Wewe endelea Kulala usingizi wa pono, kwa mjibu wa simlizi hii "BT amesaidia company yetu sisi kama Wana hisa.

Tukumbuke baada ya new C O ,ku left walijipanga kuichukua company ni Hawa kina YOGA. Je kwa fikira hizi tungepona Kweli?
 
Seriously??
 
Ahsanteeeeeeeh!!!!!

Antonnia shougaaaaaa angu njoo huku, kumekuchaaaaaaah.
 
Sio wanadamu kivipi, lainisha hili neno lieleweke
 
Mimi nimefurahi na tarehe iliyotajwa maana na mimi na set target lini nichungulie muendelezo wa movie [emoji897] pendwa sio kila mara nachunguli [mention]yoga [/mention] kashusha thread au bado : tenguz na teuzi nazo zitakuwepo hyo 15august
Kwakweli na mie nitarudi humu 15 august
Adios [emoji1672][emoji1672]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…