Garicus kama Garicus,Target is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Wewe endelea Kulala usingizi wa pono, kwa mjibu wa simlizi hii "BT amesaidia company yetu sisi kama Wana hisa.Kwa faida ya Nchi Born Town lazima apumzike. Atake asitake. Hakuna kiongozi atafanikiwa kama huyu Bwana yuko hai.
Huna point zaidi ya matusi wewe sukuma gang. Member mwenzio John naona na yeye kaanza kukuigaKama unaogopa mimba kwa nn uliibeba?
Mimba ni tusi?Huna point zaidi ya matusi wewe sukuma gang. Member mwenzio John naona na yeye kaanza kukuiga
Hayo mambo niyakunyamazia . kila msimliaji , hupenda Yale anayo zani yanafrahidha walio wengi.Born town ana hatari sana maana halisi ya powerful man,hivi alimfanya nini kp maana KP wanamsifia sana ina maana born town alimuwezaga?
Hakuna Cha codes Wala Nini, mtunzi au msimliaji kaleta zile za vijiweni , Cha tofaiti ni mpangilio na kuongeza wachezaji.Ikiwa ni story Kama story zingine haina shida mkuu lkn umeona wachangiaji wegne wanahusianisha na watu bila kupepesa na codes zingne ni rahisi kuelewa. Huoni chuki inapandwa kwa watu.
Seriously??Target is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
I [emoji102]
Ahsanteeeeeeeh!!!!!Kwanza nikushukuru kwa kuchukua muda wako na kuisoma "hadithi" hiyo juu! Asante sana mkaka!!
Pili nikushukuru kutoa mawazo yako kuhusu "hadithi hiyo hapo juu" nashukuru sana!!
Mwisho niombe kukukumbusha hadithi ulioisoma haijamtaja mtu, au kuwazungumzia watu ambao nimeona unataka wahusisha!
Niendelee kukujulisha kuwa natambua kuwa yaweza kuwa hadithi hiyo imekukwaza niseme pole saa na haikuwa dhamira ya fanani!!
Ila kuna msemo literature is a mirror of the society!! Na kila mmoja yupo free ku interprete alichokisoma from his/her point of view!!
Ubarikiwe sana!! Tukutane 15agust 2022 kama utapenda!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Vieti feck wanahaki ya kumchukia kwa sababu aliamua kuwasariti ,wakati naye mojawapo.Nyie ndo wale waliokuwa na vyeti feki au wanasiasa uchwara ndo maana mnamchukia.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
HahahahMshtueni na yule jamaa wa Twitter aje achukue vipande akawapige hela mazuzu telegram.
Mbona hasira ankoHuna lolote, tapeli mshenzi tu wewe.
Sio wanadamu kivipi, lainisha hili neno lielewekeKuna kanjanja mwenzako anaitwa samurai anawalaghai watu anajifanya anayajua ya ulimwengu usioonekana.
Maneno meengiii kujitia jasusi kumbe mchawi wa kawaida sana.
Wala hakuna jipya hapo. Tunatambua, marais wengi sio BINADAMU.
Mnawalaghai laghai wajinga tu.
Yah. Katukusanyie mengi zaidi. Kila la kheri piaGuys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!! Sorry!![emoji15][emoji43][emoji43][emoji43]
Kwakweli na mie nitarudi humu 15 augustMimi nimefurahi na tarehe iliyotajwa maana na mimi na set target lini nichungulie muendelezo wa movie [emoji897] pendwa sio kila mara nachunguli [mention]yoga [/mention] kashusha thread au bado : tenguz na teuzi nazo zitakuwepo hyo 15august