Dark days 17/03/20...

 
HABARI SERIKALI imetoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19 kuwa upo na kuwataka wananchi kuzingatia kanuni zote za kukabiliana nao ikiwa ni pamoja na uvaaji wa barakoa.
Ummy Mwalimu Waziri wa Afya
Jana tarehe 29.7.2022
 
HABARI SERIKALI imetoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19 kuwa upo na kuwataka wananchi kuzingatia kanuni zote za kukabiliana nao ikiwa ni pamoja na uvaaji wa barakoa.
Ummy Mwalimu Waziri wa Afya
Jana tarehe 29.7.2022
Wimbi la ngapi Hilo!!?

Ili litumike KWA mara nyinginezo maalamu kabisa kwa elimination method!Bado nyumba ni chafu inahitaji complete overhaul!ule msitari wa ribiti uliosahaulika preceded the rupture inabidi uondolewe Ili nyumba iwe Safi KWA FDR kuja kuanza kazi rasmi!!

Homa ya mgunda HAINA mashiko lakini covid-19 ni kichaka kizuri cha kujifichia wakati wa kujisaidia haja kubwa yenye maslahi mapana ya kampuni!!

Wimbi hili linastaafisha rasmi na kampuni kuwa huru!!
 
HABARI SERIKALI imetoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19 kuwa upo na kuwataka wananchi kuzingatia kanuni zote za kukabiliana nao ikiwa ni pamoja na uvaaji wa barakoa.
Ummy Mwalimu Waziri wa Afya
Jana tarehe 29.7.2022
Nchi ngum Sana, hivi waziri anajua kwamba amelazimisha chanjo huku chini wamempkia data Kama hawana akili nzuri, data alizonazo ni feki hamna kitu pale ,
 
Target is locked

Ni jambo lenye kutafakarisha sana ndani ya hii simulizi.

Let's wait and see.
Ni kweli, from deep states. Target wamemlock kule alipopiga picha na mkewe na Dr. Wake walipoenda kumtupia mawe shetani. Hatakiwi rudi nchini Bangaladesh na Malkia wa Pakistan sasa anaendelea kuleta mikeka na kuunda umalkia wake na states wamemuambia malkia atoe wale wa target kwenye nafasi kuanzia branch managers n.k. mikeka yote itakuja na sura mpya. Kazi ya kumuweka lock up imeratibiwa vizuri na Mstaafu na aliyemuachia kiti "mzee wa infantry"
 
Wamuekee target na Yule paka ili naye atoweke mazima
 
Inahuzunisha sana [emoji22][emoji24][emoji22][emoji24][emoji22][emoji24]
 
Kwahiyo wamemkatishia connection za kwenye kampuni au wamemlisha kitu cha kumsafirisha kwenye ulimwengu mwengine?
 
Sio kweli.
Mbona juzi nimemuona anaelekea Kijijin kwao mgaso.
 
Wewe ni KIBWENGO utake usitake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…