Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiu ndio pointiI'd!!?
Ndivyo nijionavyo kwenye ulimwengu wa fikra na Roho pia!!
Sijajua nitapenyea wapi!!!
Lakini usisahau wimbo WETU huu hapa;-
"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
SawaaaaTarget is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseeenaona mapepo yanagombana na malaika kupitia huu uzi ..
dear heavenly father please have mercy for our Nation....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
AAAAAAMEN
yoga LIVE LONG WE BINADAMU if not Allien Or GN😂😂😂😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee
Hivi watu wanafikiri kuchimba madini ni sawa na kuchimba mihogo shambaniI inahitaji heavy Equipment..Ili uweze kupata madini underground tuambieni hizo plant Kagame amewekeza sehemu gani huko Congo !?Hizi hekaya za kuichafua Rwanda na rais wake Paul kagame ,eti " wanaiba madini ya congo DR" ifike Mahalia zipuuzwe.
Haiingii akirini , Rwanda iliyo Toka kusambaratika 1994 , ikiwa imezingukwa na vitisho vya wapiganaji wa kihutu , waliyo kimbilia Kongo Tena wakiwa na siraha za kivita ,iweze kijikusanya nakuanza kuchimba madini congo kabla hata ya miaka 5.
Kama madini yana weza kuibiwa kiupesi hivyo basi kusingekua ,GGM ,ACASIA, BARICK, Kule Tanzanait tungendelea kuikota, na Mwadui asingekuwepo muekezaji.
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Life is not fair Mali tutaziacha hapa duniani tutaondoka Kama tulivyokuja hapa duniani. Very bad. Pamoja na mshahara 80% ya current President, healthcare nzuri first class, mpaka ufe, lakini bado unataka zaidi na zaidiDeep informal alielewa his assignmen well! Alijua jinsi the big boss anapendwa kutukuzwa so he ensured that kumtukuza is done 100 %[emoji1]
So kulikuwa na meeting kati ya the new boss na the old old boss, hii meeting ilikuwa inahusu tender ya invester mmoja mgeni toka west africa kutumia moja ya plots za kampuni kuwekeza kwenye kampuni kama bond ya uwekezaji wake!
This man from west africa alikuja alone with his private jet na assistant wake mmoja tu kunegotiate the deal! Aliitaka hii plot since iko sehem mzuri na inapotential kwa biashara yake ya saruji [emoji23]
Hii plot ili wahi kuchukuliwa na CEO wa 2010 - 2015 kutoka kwa CEO wa 2000 - 2005 tena in bard terms! So the meeting ilikuwa kwanza kurudisha ownership ya plot hiyo kwa the old CEO wa 2000 - 2005 then yeye ndio asign deal na tajiri from west africa kitu kilicho mkera sana the CEO of 2010 to 2015! Maana plot hiyo aliifanya kama yake!
So wakati meeting preparation zinaendelea our deep informal kumbuka yeye ndio planner wa event yote pale headqutors! Alichofanya katika zile protocal za kupokea wageni moja ya askari aliwekwa ndani specific kuhakikisha when The old CEO atakapo fika headquators basi anatimiza wajib wake
Huyu askari alikuwa na kitu inaitwa polonium 210, hii kitu huwa inatiwa kidogo tu kwenye chai, water or juice na always humuondoa mtu in between 25 to 30 days since amepewa! The guy anderstood the asignment!
The old CEO loved coffee, nahapo ndio nyudo ilipo pigiwa! So wakiwa wanamsubiri tajiri from west africa, agent anatimiza kazi yake. Mkutano baadae unakwenda vizuri, makubaliano yanakamilika na kinachobaki nikutia siganture tu!
Sasa bwana......., the old CEO katoka vizuri headquators six days after the meeting akaanza kutokujiskia vizuri[emoji22] akampigia simu kijana wake kumwambia toka ametoka hapo makao makuu he was not fine!! Kijana akaamua kumpeleka hospitali for full check up.
The doctor alifanya checkup was one of the secret agent kwenye cycle ya CEO wa 2010 - 2015 dawa za hapa na pale kuchengesha muda tuuuuuu, stage two hiyoooo ikaingia things got sereous, after 16 days he was no more![emoji22]
One man down ......one man down........... I repeat one man down........... !!!!!
New boss could not suspect enything since tukio limechezwa kwake na anapaamini 100% so he trusted doctors reports kumbe something big was on the way!!
Kwenye target board one mtoa kibri kwa our new CEO has gone! few to come!! These guys bana walikua sereous na jambo lao [emoji23][emoji23][emoji23]
New boss kwakuwa aliyemtoka ni mentour wake, na alisha kuwa CEO wa kampuni kama yeye, so alitaka mazishi makubwa, mazuri na ya heshima kumuenzi boss wake wazamani! So he called the his planner, kumbuka planner ndio deep informal!
After the successfullnes of the first mission now comes the second mission!!
Ukiskia kuuna ndege wawili au zaidi kwa jiwe moja ndio hii sasa!
Deep infomal akachora ramani zoote za remained target watako fika mazishini nyumbani kwa the late CEO. Ramani ikatua kwa the KING MAKER, vijana waka kaaa na kusuka the whole plan!
Targets kweli wakaenda ispokuwa mmoja tu. kilicho wakuta huko hao wengine no one noticed, baada ya kurudi, mmoja baada ya mwingine nikurudisha jezi kwa kipa[emoji23][emoji23][emoji23]
Now the new boss felt something un usual was goin on!! But it was tooooooooo late![emoji2957][emoji22]
Kashtuka he is alone,
Unamjua aliye baki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].......
Nakuja..... Nalala kwanza ........
[emoji846][emoji846][emoji846][emoji4][emoji4][emoji4] yoga yoga [emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]Target is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Target locked.........Target is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Hadithi husimulia about the past,Target is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Wameanza kuku_PM. Waambie waache woga. Ni stori tu.Ipo inaendelea[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] sema mmeaanza vitisho bwana!! While its just a story
Hahahah eti mwenye one na G.P.A ya 4.6Yaani ahakikishe sisi wenye one from tabora boys na GPA 4.6 from university of Vancouver ndio tunaelewa tu
KumbeeeeeeeHadithi husimulia about the past,
From now on hii tuiite tamthilia kama Ile ya Isdin......, Maana ni endelevu,
Yanatokea, anaandika, anasimulia.
Tupo saaaaaana kwenye Uzi huuuu!!!!
Naomba kujua ni kwann baadhi ya content zilizokuwa ktk hadithi Yako zimechomolewa?
Ubarikiwe sana mkuu
Wewe ni mtu wa ajabu sana, huko juu umemsema mwenzako kwamba anatoa lugha za matusi ila cha kushangaza nawewe unanaanza kuwatolea lugha chafu na kuwatukana wenzio badala ya kujibizana kwa Facts.
Personal Values ni mkusanyiko wa mambo yote ambayo mtu fulani anaona kwake ya faida na umuhimu kama vile imani, dini, tamaduni, mila,ideas, nk nk. Kila mtu ana Values zake kwenye maisha basi haina budi kumuheshimu mtu na values zake katika masha.....Haiwezekani kipimo cha akili duniani iwe kuwa mfuasi wa mbowe au chadema.
Na kipimo cha ujinga iwe Kuunga mkono mambo aliyofanya JPM which are of course Superb, never ever in this Crazy world
Mungu alipotuumba kila mtu alimpatia Free Will yaani kila mtu achague mtindo wake aupendao wa kuishi duniani na Mungu mwenyewe anaheshimu kila chaguzi ya anayofanya mwanadamu katika maisha ndio maana hua hatuingilii katika machaguzi na maamuzi yetu ya maisha.
Sasa wewe kwanini uone wenzako ni wajinga,maskini na wapumbavu kisa tu They didn't feed your ego. Heshimu values na machaguzi ya watu kama Mungu anavyoyaheshimu sio lazima wote tupende mtu mmoja au kitu kimoja, hiyo ndio demeokrasia amabayo CDM imekua ikiihubiri sasa nashangaa watu wakiifuata mnawadhihaki.. Nashindwa kuelewa mnataka nini nyie binaadamu wenzangu....Kama mtu hujapenda anachokipenda basi wewe waache ondoka zako kama utashindwa kubishana nao kwa hoja.
Lazima tutofautiane mitazamo na preferences hicho ndio kinatufanya tuwe binaadamu na sio robot ambao wapo coded kuExcute a certain Task.
Binafsi kama ingekua ili JPM arudi basi mtu inatakiwa ajitolee uhai wake ningekua tayari kufanya hivyo with proud. I'll love and appreciate JPM Here and Hereafter. On this life or the Next.
Respect, You need to give it out to others. If you wat to receive it
View attachment 2236192
Asante sana Justine!! Nitulie vizuri sasa nisome nukta after nuktaaa