Dark days 17/03/20...

Born Town anawanyoosha ma bushmen 😂😂😂
Z
 
Na Ndio màana ya vugu vugu linaloanzia magharibi Sio!!la Hapo Mwakani linalotabiriwa na watabiri mbali mbali Sio!Hao CIA agent's si Mu7 na The cat Sio!!

Wanataka nani achukue!?Dr.Tibazonkiza Sio!?

TUSUBIRI

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
I think hii yote ni plot ya the 4th group aka "The anonymous" coz kwenye hii hadithi groups zote 3 zinaonekana mbaya na zinachonganishwa so lazima mtoa riwaya hii atakuwa kwneye group LA 4.....ambao watakuwa HATARI zaidi kuliko hata hayo ma3. Maana lazima atakuwa ni FOREIGNER.
1. MZEE & NEW CEO & TANZANITE
2. THE LATE CEO PIPO+ OLD BRANCH MANAGER
3. THE BORN TOWN PIPO +KATANI+TEMBO+OTHERS.
Hawa wote wanachezeshwa kwenye riwaya wagombane.
But who will benefit kwa hizo groups kupambana wenyewe kwa wenyewe????? Wahenga WA kizungu wanasema
If you want to know WHO just follow the Money......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…