Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
JF hasa katika uongozi wake washa ingia watu vilaza (myopic) ambao kwa uwazi kabisa ni mapandikizi ya serikali au taasisi nyeti lengo ikiwa ni kufunga watu midomo na mbaya zaidi hawa angalii mtu kasema nini bali kumtafuta aliye sema JF imekuwa dump and dipshitYani hili li nchi bana....tunakaziana mpaka fictional stories kweli??!!!.....sasa wamefuta wakiwa na lengo gani sasa. .daadeki
Kabisa mkuu ...halafu wanasema jukwaa huru What the f*ck!!JF hasa katika uongozi wake washa ingia watu vilaza (myopic) ambao kwa uwazi kabisa ni mapandikizi ya serikali au taasisi nyeti lengo ikiwa ni kufunga watu midomo na mbaya zaidi hawa angalii mtu kasema nini bali kumtafuta aliye sema JF imekuwa dump and dipshit
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yani huu ni upuuzi wa kiwango cha lami....hadi hadithi?!!!!!!aliefanikiwa kukopi atuwekee basii maana haya majitu yalifuta hayana akili kabisaaa
huyo aliefuta ni mjinga sanaaYani huu ni upuuzi wa kiwango cha lami....hadi hadithi?!!!!!!
Wapuuzi tu haoKumbe na wao JF walikua wanasubilia episode
Sasa na wewe ndo umeandika nini?Nice story, but yoga, you need to polish your English, your imagine is slightly tarnished. Writes like you are a Udsm graduate
Hili jukwaa lishabuma kudadeki zaoo....nahisi hata msimuliaji atakuwa dissapointed kuendeleza storyHili sio jukwaa huru tena kama mpaka hadithi tu zinafutwa,vip kuhusu usalama wa members humu hasa taarifa zao???
Ya kuchapa hata risasi.....hayajui watu tuko na arosto kiasi gani k****maeKama kweli imefutwa basi nahisi uongozi wa jamii forum kwa maana moderators kuna mashoga wa kutosha wa kupumuliwa kwenye visogo..!!
Asante mkuu, hii ya leo imekuwa riwaya zaidi tho sijaelewa codes vizuri!
Kwani umefutwa?Jamani mwenye huo muendelezo tusaidiane jama
Tuhadithie basi[emoji23][emoji23][emoji3]Umefutwa mm nilisoma ila sijakopy
Umefutwa mkuuKwani umefutwa?
Nisaidie mkuu kama unayoMsipende kulala
Aliandika upyaUmefutwa mkuu
Mimi mtu wa kwanza kuisoma na kucomment, imejaa uongo mtupu na bora kabisa ilivyofutwa.Please @ nitumie hiyo episode inbox