vipanda thamani
JF-Expert Member
- Jul 7, 2022
- 411
- 668
Kuna kitu hakikp sawja inawezekana alipost ila kwa sasa nikama hawez post tena maybe aje na account mpya.... unaweza kujaribu kum inbox message haiend ni kama amekuwa blocked ....Ni ngumu Sana kuthibitisha kuwa aliposti,Ila ukimya wa yoga unantisha!
Kama Mods wamefuta Basi JF siyo sehemu salama turudi FB kununua misambwanda na migongo ya dada zetu.
Wee umewaza Kama mm tu najuwa kbsa Kuna sehemu alitusisitiza kuwa Mr freedom amejeuka omoro kisiasa hvyo alikuw Mr freedom alikuw Ana aside na omoto kinafiki tuYzi utashuka baada ya kampuni ya Mr freedom kupata ceo mpya, mpaka aapishwe nahisi ndo yoga ataendelea na uzi, bado anasilikizia aside kupoyoya, akasema kitu mambo yakageuka na kuwa kinyume.
Mnakumbuka alisema mwanzoni mwa uzi kwamba current ceo wa kampuni ya bt alipewa barua na briefcase na aliposoma baria aliambiwa afungue briefcase baada ya kuapa nk.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawazs mambo yakigeuka kule kwa Mr freedom na baba akakamata kiti atakuja kisemaje?
DuhKuna kitu hakikp sawja inawezekana alipost ila kwa sasa nikama hawez post tena maybe aje na account mpya.... unaweza kujaribu kum inbox message haiend ni kama amekuwa blocked ....
Mkuu naomba nitumieMimi ninao ulikuwa unahusu kikao Cha team ya bt na kukawa na jamaa analalamika kuwa wapunguze ugumu wa maisha kwenye kampuni Kwa kushusha bidhaa zao lakini akakataliwa na kuambiwa ale awezavyo lakini akistep down atashughulikiwa Kwa mujibu taratibu za team yao.
Huku upande mwingine branch manager wa mzizima kipindi Cha late CEO akilalamika kunyang'anywa mashamba yake na nyumba huku account zake mbili zikifungwa
Inawezekana Upo Sahihi KabisaMKUU
Haikuwa story Kama story Bali ujasusi sebuleni!!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
sie wengine tulipoona hii post tukajua tu kn kitu hakiko sawa.Guys kwanza am very sorry for not delivering last friday!! The reson behind is.... Something horrible imetokea kwenye divice yangu natumia before posting this story hapa!!
Mniwie radhi sana tu! Mambo ni mengi but evrything now is fine!! "We are on recovery mode" If god wishes sitopost single epsode kama ilivyo kuwamwanzo, kwakuwa kuna watu wametake this too personal[emoji24][emoji24][emoji24] now tutakwenda na speed, epsode karibia zoote ili huo upersonal uongezeke[emoji56][emoji56][emoji847]
But any ways am sorrryyyyyyyy!! Love you, tusameheane bure jamani[emoji7][emoji7] Any time from tuesday shuhuli inaaza!! Am sorry
Uki sahii, nimejaribu nimeshindwaKuna kitu hakikp sawja inawezekana alipost ila kwa sasa nikama hawez post tena maybe aje na account mpya.... unaweza kujaribu kum inbox message haiend ni kama amekuwa blocked ....
Punguza hasira kijanaHuu uzi nadhani hapa ndo last destination yake maana mleta uzi amekuwa sio mtu wa ku-keep promise zake .Usiku mwema wakuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu mnyililo naomba nitumie pm mkuu.Mimi ninao ulikuwa unahusu kikao Cha team ya bt na kukawa na jamaa analalamika kuwa wapunguze ugumu wa maisha kwenye kampuni Kwa kushusha bidhaa zao lakini akakataliwa na kuambiwa ale awezavyo lakini akistep down atashughulikiwa Kwa mujibu taratibu za team yao.
Huku upande mwingine branch manager wa mzizima kipindi Cha late CEO akilalamika kunyang'anywa mashamba yake na nyumba huku account zake mbili zikifungwa
Huenda ni kweli make kuna mwamba humu anasema anao ila anaombwa hatumiPost namba moja ya huu uzi haijafutwa, kwa ujumla story zilizosambazwa toka mwanzo hadi zilipoishia zipo zote.
Ni ujinga kuwaza kwamba season 2,episode 2 imefutwa.
Nijuavyo mimi jf huondoa uzi wote usioeleweka na sio kuondoa sehemu tu ya uzi
Yoga hajatoa excuse kwa uzi kuondolewa hivyo hakuna kitu kilichoondolewa hapa baada tu ya kusambazwa. Yoga atakuja kwa wakati story itaendelea
Wafatiliaji makini pekee ndio watanielewa.
Nirushie na mimiMimi ninao ulikuwa unahusu kikao Cha team ya bt na kukawa na jamaa analalamika kuwa wapunguze ugumu wa maisha kwenye kampuni Kwa kushusha bidhaa zao lakini akakataliwa na kuambiwa ale awezavyo lakini akistep down atashughulikiwa Kwa mujibu taratibu za team yao.
Huku upande mwingine branch manager wa mzizima kipindi Cha late CEO akilalamika kunyang'anywa mashamba yake na nyumba huku account zake mbili zikifungwa
Huenda ni kweli make kuna mwamba humu anasema anao ila anaombwa hatumi
Post imefutwa, ilipostiwa usiku wa manane kisha ikafutwa. Tusubiri maelezo kutoka kwa yoga ili kujua kama alifuta mwenyewe au mtu mwingine!Huenda ni kweli make kuna mwamba humu anasema anao ila anaombwa hatumi