Hii picha JK kavaa bulletproof? Mbona katuna sana kifuani?Tanzania iko salama sasa kwa hili tabasamu la ushindi,jamani karibuni kijiweni kwangu nauza mihogo,viazi vitamu,Magimbi na maboga ya kuchemsha na chai,uji na juisi[emoji51]
Banda linakesha [emoji51][emoji51][emoji1241] Amani imetawala.
Ile ni ya hovyo bajeti ya serikali kubwa sana serikali tatu yani vikao mizi 3 matumizi mabaya ya pesa zetu na pia kuna ushoga mule ndani umejificha imekuja ile kuruhusu ushoga....Mi ile rasimu inaniboa kwasababu ina lundo la viongozi wakuu bt maeneo mengine iko njema
Google translate ipo, hata akileta kwa kisukuma itatafsiriwa tu [emoji23][emoji23]yoga, this time drop it in English
Sikuwa nafahamu kama na UCameroun upo mule ndaniIle ni ya hovyo bajeti ya serikali kubwa sana serikali tatu yani vikao mizi 3 matumizi mabaya ya pesa zetu na pia kuna ushoga mule ndani umejificha imekuja ile kuruhusu ushoga....
Tunamsubiria yoga atupe muendelezo!!Customers tupo tu kusubiri matokeo,. Ila kuna watu wanaumiza vichwa, kuhusu gawio la kampuni liwafikie na customers wa kampuni kwa aman.
Warioba amefikaje hapa? Tumia codeTunamsubiria yoga atupe muendelezo!!
Amekwama mahali!!nadhani kinahitajika kamba kumvuta alipokwama Ili arudi jukwaani!!
"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
We jamaa umevamia na huku, tufungulie bac code ya "new dreamer"!!!
Atakuwa bishop huyoWe jamaa umevamia na huku, tufungulie bac code ya "new dreamer"!!!
Yupi!!?Atakuwa bishop huyo
Ushahidi wa maneno yako ni upi.
Sidhani "new dreamer" atakuwa ni "new CEO" wa mpito alienogewa.Atakuwa bishop huyo
Yaani mchawi unamwita jabali?Yupi!!?
Yule anaefanya siasa na mahubiri kwa pamoja!?
Lile ni jabali nadhani ndio mbunge pekee wa ccm anaeweza kujaza mikutano Bila msaada wa malori ya chama na serikali!!
"Mzee WARIOBA arudishwe KWENYE kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
MkuuYaani mchawi unamwita jabali?
Umetuaibisha walokole kijana!
Odii flies to dbay fearing.......🔥🔥 From tolu!!!!Tuesday is next day, nawakumbusha tu.
Kumbe born town ndo mzee wa tabasamu daima??[emoji849]Anataka amzunguke born town, wanamla kichwa soon.
Acha majungu ndugu mlokoleYaani mchawi unamwita jabali?
Umetuaibisha walokole kijana!
Nipo huku tokea mwanzo mwa uzi.We jamaa umevamia na huku, tufungulie bac code ya "new dreamer"!!!