Dark days 17/03/20...

Customers tupo tu kusubiri matokeo,. Ila kuna watu wanaumiza vichwa, kuhusu gawio la kampuni liwafikie na customers wa kampuni kwa aman.
Tunamsubiria yoga atupe muendelezo!!

Amekwama mahali!!nadhani kinahitajika kamba kumvuta alipokwama Ili arudi jukwaani!!

"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
 
Yaani mchawi unamwita jabali?

Umetuaibisha walokole kijana!
 
Nikimfikiria the new boss Huwa nawaza mengi sana.Kuna kauli ya watu flani wanasema ...Rise up and kill them first.... labda angeitumia angeepusha collateral damage iliofuatana na kuhalalisha mauaji yake..Alisikia watu wakipanga kumuua lakini akawasamehe. Hiki ndio nakichukikia kwa viongozi wengi wa kiafrika wenye mawazo ya kizalendo.Nabaki najiuliza why they are so clueless?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…